CHAI CHUNGU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 7,113
- 930
So sad
ITV wamesema Deo yuko salama
Taarifa za awal ni mzima!!!!,
Taarifa kamil je?
Mtangazaj alikua anatetemeka!!!! Kuna utata
Mm sitamani kusikia filikunjombe nae yumo
We huoni wanavyochakalika,?
Nadhani hii kitu ni kama repetition fulani katika siku fulani huko nyuma. Nakumbuka kipindi fulani Chopa ilianguka na mbunge akatoka salama. Am I dreaming?