Ziroseventytwo
Platinum Member
- Mar 27, 2011
- 9,163
- 17,067
Diwani wa CCM kata ya Ifakara ndg Ramadhani Kiombile, ambaye alikuwa pia mwenyekiti wa halmashauri amefariki dunia leo katika hospitali Muhimbili. Chanzo changu kutoka ndani ya halmashauri kimenithibitishia habari hizi. R I P Diwani.