Tuone kweli kama jiwe amechoka au la. Waziri wa mambo ya nyumbabi aspowahi kutoa pole inakula kwake kabla ya jtatu.Dereva hakujua kuwa jiwe kachoka kutuma salamu za rambirambi?
Hakika inaonekana dhahiri, Mungu amlaze pema peponi diwaniMtoto halali na hela hiyo ajali inatisha sana
Kwa taarifa yako, huyo dereva siyo kweli kwamba kaajiriwa kutokea kijijini kama unavyofikria, alikuwa dereva pia fundi wa magari! Kwa ufupi ni experienced driver, basi sema tu leo zilikuwa zimetimia!!Madereva wengi wanaokuwa recruited kutoka vijijini wanakuwa n'a ushamba wa magari mapya ! Hapo chanzo ni mwendo kasi n'a kushindwa kumudu gari ! Mambo ya tochi hayawezi kuwazuia hawa wasiokuwa n'a ujuzi ! Hiyo gari ni product y'a hardtop hazina balance barabarani kabisa @140km/hr
Experienced kwa magari mabovu na atakuwa hana technical skills za uendeshaji wa kutambua centre of gravity y'a gari unataka nini !!??Kwa taarifa yako, huyo dereva siyo kweli kwamba kaajiriwa kutokea kijijini kama unavyofikria, alikuwa dereva pia fundi wa magari! Kwa ufupi ni experienced driver, basi sema tu leo zilikuwa zimetimia!!