Kumbe wewe una magonjwa na bado Mgonjwa?Haya, sawa.
DuuuhR.l.P Rashid Hemed, Baba Nasssoro! Enzi zake RPC Dodoma alikua anasaga sana gomba na kuvuta ganja eneo la Area D wajenzi
Huna kapicha kake tumuone.A
Ni mwarabu alio anzisha Rushwa katika jeshi la polisi Arusha,alikuwa akilinda waarabu wenzake wasikamatwe kipindi hicho waliokuwa wanafanya biashara za pembe na wizi wa magari.
Wewe utakwenda jioni ya leoHata wewe utakwenda tu.
A
Ni mwarabu alio anzisha Rushwa katika jeshi la polisi Arusha,alikuwa akilinda waarabu wenzake wasikamatwe kipindi hicho waliokuwa wanafanya biashara za pembe na wizi wa magari.
mkuu,umemalza naura mwaka gani?me pia ni alumn wa nauraMkuu umenikumbusha kuhusu rafiki yangu Nasoro Hemed, classmate wangu pale Naura primary- Arusha. Nimepotezana nae kitambo sana.
Nampa pole sana kwa msiba wa baba yake.
Mbona wewe umeshakwenda?Wewe utakwenda jioni ya leo
Mimi nipo hapa JF, wewe utakwenda subiri jioni ifikeMbona wewe umeshakwenda?
nimecheka sana, kuna mtu aliambiwa atakwenda imekuwa nogwa kubwa sanaWewe utakwenda jioni ya leo
Rashid Hemed alikuwa kipenzi cha askari Arusha miaka ile. Ndiye aliyeamua kununua Tv early 90s kwaajili ya kambi zote za Polisi ili baada ya kazi jioni askari na familia zao waburudike (haikuwa rahisi mtu kumiliki Tv early 90s) .Nakumbuka jinsi watoto walivyokuwa wakikushangilia wakikuona Kambini na jinsi ulivyokuwa rafiki kwao. RIP Kamanda Rashid Hemed
Enzi ya akina mwl Kainotimkuu,umemalza naura mwaka gani?me pia ni alumn wa naura
Just kumchemsha mtu! Huku nilipo kuna kichaka watu na Benz, V8 etc zao wanakuja kuaguliwa- huyo ukimwambia utakufa anaamini! Unamchemsha tunimecheka sana, kuna mtu aliambiwa atakwenda imekuwa nogwa kubwa sana
Wazikaji ndo hawasikii wala hawaoni , its a big community wangetafuta eneo jingine kama ilivyo kwa bohra et alHivi haya Makaburi ya Kisutu na Kinondoni hayajai tu jameni?? Kwann serikali isione hili jambo la kuzika kinondoni /kisutu mbona hapajai
Shukran....Mkuu umenikumbusha kuhusu rafiki yangu Nasoro Hemed, classmate wangu pale Naura primary- Arusha. Nimepotezana nae kitambo sana.
Nampa pole sana kwa msiba wa baba yake.
BHArusha Sec?