chief zuma
JF-Expert Member
- May 29, 2016
- 229
- 144
Inna lillah wa inna lillah rajiun
Hapana huyu alistaafu kihalali.R.I.P kamanda. Huyu marehemu sio mmoja wa askari wakubwa walioachishwa kazi kimizengwe halafu wakaenda mahakamani na kushinda kesi halafu wakalipwa kitita kikubwa kama damages?
Bado yuko USA anafanya kazi huko hukpMwanae Rashid Hilal alikuwa St Louis Missouri sijui kama alirudi au vipi
Hujijui lakini umeshakufa.Mimi nipo hapa JF, wewe utakwenda subiri jioni ifike
mwaka gani sasa,afu mwalimu kainoti kavuta una habari?Enzi ya akina mwl Kainoti
Aliewahi kuwa kamanda wa police mikoa ya Arusha na Dodoma, DCP mstaafu Rashidi Hemed amefariki nyumbani kwake Oysterbay asubuhi ya leo. Mazishi yanatarajiwa kufanyika makaburi ya Kisutu baada ya swala ya saa 7 mchana.
Hivi Manyerere bado upo wale Waburushi wa Mbarali hawaja kutafuta bado tu ? Au ule ulikuwa mpango fulani maalumu uliosukwa kiustadi kabisa na wewe kushirikishwa kama sehemu tu ya kufikisha ujumbe ila motives wanajua wenyewe? Wewe si ulisifiwa bwana kule bandari wanakopitisha pipe zao ? Hivi wameshazitoa ?Du[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
Utabiri wa dizaini hii haukubariki hapa nchini hahahahahahMimi nipo hapa JF, wewe utakwenda subiri jioni ifike