Yamakagashi
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 8,613
- 17,646
R.I.P Col Mlai
.....hakupenda Askari wake ale msosi mbovu, alikuwa anakagua mpaka nyanya. Harage wese na wali wese !Alikuwa mfupi lakini mkakamavu na mwenye utu sana RIP mzee wetu
duh.alikua babiloni.Apumzike mahala pema kamandaTulikwenda kufanya kazi nyumbani kwake Mafinga, alikuwa na wageni aliwachinjia mbuzi, baada ya kutuona tupo nje akatukatia mguu wa mbuzi akasema mtajua wenyewe kwa kuchomea, ila mkitaka mnaweza kula mbichi, akakata sehemu ya nyama akala mbichi
R.I.P Col TN Mlay(rtd) ushuhuda wawachache jamvini, inaonyesha uliitendea haki nafasi yako!duh.alikua babiloni.Apumzike mahala pema kamanda
Ninakumbuka enzi hizo sister alikuwa JKT Mgulani. Akitoroka kuja home saa ya kuondoka anasubiri daladala, akiona gari ya Mkisi tumbo jotoMasahihisho madogo
Hatukuwahi kuwa na mkuu wa majeshi akiitwa Major General Mkisi.
Ila kama kumbukumbu zangu zinanielekeza vyema ni kuwa tuliwahi kuwa na mkuu wa jkt akiitwa Major General Mkisi
Maselule yalikimbia matifuHumu mmejaa makamanda mimi raia Nanga selule hakunifai R.I.P kamanda
Sawa kabisa na kabla ya hapo alikuwepo Mzee Kaswende na kabla hapo Mzee Nkulila kama wakuu wa JKT.Masahihisho madogo
Hatukuwahi kuwa na mkuu wa majeshi akiitwa Major General Mkisi.
Ila kama kumbukumbu zangu zinanielekeza vyema ni kuwa tuliwahi kuwa na mkuu wa jkt akiitwa Major General Mkisi
Kweli kabisa, alimuweka mkewe ndani kwa kosa la kuchelewa kwenye paredi yake pale Ruvu JKT wakati huo akiwa Captain.Siku moja pale Msange mkuu wa majeshi Major General N. Mkisi alikua anatoa hotuba mbele ya maaskari na makamanda. Katikati ya hotuba akamwamrisha mkuu wa kikosi cha Msange Lt. Col.Sanga Awape makamanda soda. Mlay bila kusimama akasema yeye sio mtoto mdogo wa kunywa soda. Mkisi akasema. Sanga mke kamanda beer. Alikua ni mwanamme wa shoka. Alishawahi kumuweka mke wake quarter guard.RIP KAMANDA
Mkuu uko correct, Maj General Nelson Mkisi, alifariki kwenye 2012/13 hiviMasahihisho madogo
Hatukuwahi kuwa na mkuu wa majeshi akiitwa Major General Mkisi.
Ila kama kumbukumbu zangu zinanielekeza vyema ni kuwa tuliwahi kuwa na mkuu wa jkt akiitwa Major General Mkisi
Hahaaa,,,,,,,!!!!Maselule yalikimbia matifu