Walikuwa majembe pamoja ns Col. Mtono aliyewahi kuwa CO. Mgambo Tanga. Nakumbuka kuna wakati alipita Mgambo, tulikuwa parade,akashuka kutusalimia. Wakati huo Co. Mtono,mwenyeji naye akafika. Dah,ilipendeza walivyosalimiana kikakamavu. RIP Kamanda. Mungu amekupenda zaidiAlikuwa anawapenda wapiganaji chini yake. Anabaki katika historia kama CO pouwa sana
Alikuwa ni Mkuu wetu wa Kikosi tukiwa Mafinga - tulipopita pale kwa Mujibu wa Sheria - RIP Colonel.
Where are his kids?Wanajamii, napenda kuwajulisha kwa masikitiko kifo cha mzee wetu mstaafu Col T.N.Mlai kilichotokea jana jioni ktk hosp. ya KCMC, Moshi. Marehemu alikuwa maarufu sana kwa wale waliopitia JKT miaka ya 80 na 90 hasa vikosi vya Buhemba na Mafinga.
Maziko ni mapema wiki ijayo huko kijijini kwao Kawawa Kirua Vunjo Moshi.
Bwana ametoa na Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe.
![]()
Baadhi wapo Moshi.Where are his kids?
[emoji23][emoji23][emoji23]Was such a funny guy eeh!!??Tulikwenda kufanya kazi nyumbani kwake Mafinga, alikuwa na wageni aliwachinjia mbuzi, baada ya kutuona tupo nje akatukatia mguu wa mbuzi akasema mtajua wenyewe kwa kuchomea, ila mkitaka mnaweza kula mbichi, akakata sehemu ya nyama akala mbichi
...na Colonel SI Kapinga (Chita JKT)Huyu kundi lake lilikuwa la akina Kanali Meena, Matingasi na wengineo.
Umenikumbusha mbali...nilikua najiuliza nilikutana nae wapi kwani nilipita kambi nyingi JKT, nilikua Op. Miaka 25 ya JKT...sikujua nilikutana nae Masange,Buhemba au Makutupora...nafikiri alitoka Masange akaenda Buhemba... Mungu ailaze Roho yake Mahali Pema Peponi...AminSiku moja pale Msange mkuu wa majeshi Major General N. Mkisi alikua anatoa hotuba mbele ya maaskari na makamanda. Katikati ya hotuba akamwamrisha mkuu wa kikosi cha Msange Lt. Col.Sanga Awape makamanda soda. Mlay bila kusimama akasema yeye sio mtoto mdogo wa kunywa soda. Mkisi akasema. Sanga mke kamanda beer. Alikua ni mwanamme wa shoka. Alishawahi kumuweka mke wake quarter guard.RIP KAMANDA
Siku moja pale Msange mkuu wa majeshi Major General N. Mkisi alikua anatoa hotuba mbele ya maaskari na makamanda. Katikati ya hotuba akamwamrisha mkuu wa kikosi cha Msange Lt. Col.Sanga Awape makamanda soda. Mlay bila kusimama akasema yeye sio mtoto mdogo wa kunywa soda. Mkisi akasema. Sanga mke kamanda beer. Alikua ni mwanamme wa shoka. Alishawahi kumuweka mke wake quarter guard.RIP KAMANDA
Mke wake naye alikuwa askari ama raia?Hii ya mke wake ilitokea kj 822 buhemba jkt
Leo ndio nimeanza kujua rangi zako tuendeleeYou are right. Thank you
najiona nipo kati kati ya makamanda
Mapololo yalizibitiwa baada ya kuja wadhabuni, kabla ya hapo wapishi walikuwa wanawaita watoto wao wanakuja kuchukua pololo nyama, Mchele, mafuta, maharage, mikate maziwa ya unga.Makambi ya town yalikuwa ni shida tupu kwa kubeba mapololo. Hata Mgulani mambo yalikuwa ni hayo. Ruvu kwa Lt. Col. Urio RIP msosi ulikuwa mzuri sana alidhibiti mapololo.
Mapololo yalizibitiwa baada ya kuja wadhabuni, kabla ya hapo wapishi walikuwa wanawaita watoto wao wanakuja kuchukua pololo nyama, Mchele, mafuta, maharage, mikate maziwa ya unga.Makambi ya town yalikuwa ni shida tupu kwa kubeba mapololo. Hata Mgulani mambo yalikuwa ni hayo. Ruvu kwa Lt. Col. Urio RIP msosi ulikuwa mzuri sana alidhibiti mapololo.
Mapololo yalizibitiwa baada ya kuja wadhabuni, kabla ya hapo wapishi walikuwa wanawaita watoto wao wanakuja kuchukua pololo nyama, Mchele, mafuta, maharage, mikate maziwa ya unga.Makambi ya town yalikuwa ni shida tupu kwa kubeba mapololo. Hata Mgulani mambo yalikuwa ni hayo. Ruvu kwa Lt. Col. Urio RIP msosi ulikuwa mzuri sana alidhibiti mapololo.