Tanzia: Baba yake Isha Mashauzi(Mzee Ramadhan) afariki dunia

balibabambonahi

JF-Expert Member
Apr 5, 2015
15,700
14,210
Natangaza kifo cha Mzee Ramadhani baba yake Isha Mashauzi. Kifo kimetokea Leo alfajiri 13 Feb, 2016.

Mzee alilazwa Muhimbili baada ya kuhamishwa toka hospitali ya Temeke na mauti kumkuta hapo Muhimbili.

Pole sana wafiwa.
RIP Mzee Rama.
 
Mimi mwenyewe balibabambonahi natangaza kifo cha Mzee Ramadhan baba yake Isha Mashauzi.kifo kimetokea Leo alfajiri 13 Feb,2016.pole sana wafiwa RIP Mzee Rama.Mzee alilazwa Muhimbili baada ya kuhamishwa toka hospitali ya Temeke na mauti kumkuta hapo Muhimbili

Pole Sana Kwa Poti Wangu Na Dada Yangu Isha Mashauzi Kwa Kuondokewa Na Baba Yake. R.I.P
 
Kwani alikuwa nani?

upload_2016-2-13_2-6-3.jpeg
 

Attachments

  • upload_2016-2-13_2-5-16.jpeg
    upload_2016-2-13_2-5-16.jpeg
    9.8 KB · Views: 207
Inna Lilah Wainna Ilayhi Raajiuun.

KULLU NAFSIN DHAAIQATUL MAWTI,

WAINNAMAA TUWAFAWNA UJUURAKUM YAWMAL QIYAAMA,

FAMAN ZUH ZIHA ANI NNARI WAUD KHILAL JANNATA FAQAD FAAZA,

WAMAL HAYAATU DUN YAA ILLA MATAAUL GHURUUR
 
Back
Top Bottom