TANZIA: Anna Senkoro, mwanamke wa kwanza kugombea Urais nchini Tanzania(2005), afariki dunia

Nakumbuka pia majungu ya Makamba kuwa kati ya wagombea 10 wa urais zaid ya nusu wanatokea kanda......

Nakumbuka mdahalo mkali na JK alishiriki

Nakumbuka Mbowe alitumia background ya bendera ya taifa kwenye poster zake. Wale waliojimilikisha nchi wakaanzisha zengwe
Mzee Kingunge ndo alikuwa waziri muhusika akawa anapinga Mbowe kutumia bendera ya taifa
 

Aliyekuwa mgombea urais wa kike wa kwanza Tanzania (Uchaguzi 2005) kupitia chama cha APPT-Maendeleo, Dr. Anna Claudia Senkoro ameaga dunia.

Inadaiwa aliugua ghafla usiku wa kuamkia leo na amefariki baada ya kukimbizwa hospitali asubuhi ya leo.

Msiba upo nyumbani kwake, Tabata Segerea jijini Dar.

Taarifa zaidi zitafuatia...

====
Matokeo ya Urais 2005)

Jakaya Kikwete (CCM)
9,123,952
80.28%

Ibrahim Lipumba (CUF)
1,327,125
11.68%

Freeman Mbowe (CHADEMA)
668,756
5.88%

Augustine Mrema (TLP)
84,901
0.75%

Sengondo Mvungi (NCCR-Mageuzi)
55,819
0.49%

Christopher Mtikila (DP)
31,083
0.27%

Emmanuel Makaidi (NLD)
21,574
0.19%

Anna Senkoro (PPT-Maendeleo)
18,783
0.17%

Leonard Shayo (MAKINI)
17,070
0.15%

Paul Kyara (SAU)
16,414
0.14%


Bwana Ametoa Bwana ametwaa

POLENI SANA
 
Mwenyezi Mungu ailaze roho yake mahala pema peponi wanafamilia wapate faraja kipindi hiki kigumu.
 
Matokeo ya Urais 2005)

Jakaya Kikwete (CCM)
9,123,952
80.28%

Ibrahim Lipumba (CUF)
1,327,125
11.68%

Freeman Mbowe (CHADEMA)
668,756
5.88%

Augustine Mrema (TLP)
84,901
0.75%

Sengondo Mvungi (NCCR-Mageuzi)
55,819
0.49%

Christopher Mtikila (DP)
31,083
0.27%

Emmanuel Makaidi (NLD)
21,574
0.19%

Anna Senkoro (PPT-Maendeleo)
18,783
0.17%

Leonard Shayo (MAKINI)
17,070
0.15%


Paul Kyara (SAU)
16,414
0.14%
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom