mmmh! jamani kwani kuwa verified user ni cheo?! enewei sawa accused nimekusoma nitarekebisha makosa hayo!Verified user!!!!!! Hivi kwann hampendi kusoma post yote ndiyo muanze Ku comment?
mmmh! jamani kwani kuwa verified user ni cheo?! enewei sawa accused nimekusoma nitarekebisha makosa hayo!Verified user!!!!!! Hivi kwann hampendi kusoma post yote ndiyo muanze Ku comment?
PPT maendeleo, maskini mwanamke mwenzetu akambulia chini ya jumla ya kura 20,000 wakati kikwete alikuwa 9m.
Jamani mchawi wa mwanamke ni mwanake mwenzeka.
Asante kwa taarifaNi mtu na dada yake.
Asante kwa taarifaNi mtu na dada yake.
Profesa shayo alishakufaProfesa Shayo je?
Wamebaki mbowe. Mrema na lipumbaInaonekana utabiri wa shehe Yahya Hussein umetimia,alisema atakayegombea dhidi ya Kikwete atakufa.Wamekufa watano sasa bado wangapi?