Itakuwa vema kuujulisha umma wa JF kuwa watu wanapukutika... kila mtu humu akiamua ku-post misiba ya wapendwa wao sijui itakuwaje.
Itakuwa vema kuujulisha umma wa JF kuwa watu wanapukutika... kila mtu humu akiamua ku-post misiba ya wapendwa wao sijui itakuwaje.
corona pandemic might be a contributing factor taking a majority cause among others
... kila mtu humu akiamua ku-post misiba ya wapendwa wao sijui itakuwaje.
RIP Alhaji Pandu. Nimeiangalia hiyo picha imenipa funzo kubwa sana kuhusu wake zetu. Mara nyingi ndio watu wanaotusaidia sana kipindi unapopitia magumu. Tuwaheshimu wake zetu tunapokuwa wazima wa afya
Basi nilijua mkewe anamsomea duaBasi kila mtu na mawazo yake..mie nimehisi kama ni Mwandishi wa habari..umri huo huyo awe mke??
Yule ni Pandu Kificho mkuu.Ni yule aliyekuwa "supika"ZNZ?!
... Mkuu hiyo title imerekebishwa na mods baada ya malalamiko yetu humu; it was simply "Mzee Ameir Pandu Amefariki Dunia" as simple as that. Hata kwenye main body hakuwa amedokeza wasifu wa marehemu. Otherwise, baada ya marekebisho hayo truly Mzee Pandu Ameir is a great statesman whose demise is not only a family and relatives' matter but also attracts public attention.Hhaha huyu mbona alikua anajulikana mkuu?? Hahhaha..
... kila mtu humu akiamua ku-post misiba ya wapendwa wao sijui itakuwaje.
... na hoja yangu ilikuwa hiyo!
Heshimu mwanamke, kamwe usilete kiburi jeuri na madharau dhidi yaoRIP Alhaji Pandu. Nimeiangalia hiyo picha imenipa funzo kubwa sana kuhusu wake zetu. Mara nyingi ndio watu wanaotusaidia sana kipindi unapopitia magumu. Tuwaheshimu wake zetu tunapokuwa wazima wa afya