TANZIA: Aliyekuwa mwanahabari wa Radio Tumaini, Fred Mosha afariki dunia

MT255

JF-Expert Member
May 3, 2012
3,606
4,913
7fad6227ac1699048354bb3d5d3d8cf8.jpg

Aliyekuwa mwanahabari na mtangazaji wa siku nyingi na mchambuzi wa maswala ya muziki kwa siku nyingi redio Tumaini, FRED MOSHA amefariki leo alfajiri kwenye hospital ya taifa Muhimbili alikokuwa amelazwa kupigania uhai wake baada ya kuugua kwa muda mrefu Saratani.

Bwana ametoa bwana ametwa jina la bwana lihimidiwe, Ameni!
 
7fad6227ac1699048354bb3d5d3d8cf8.jpg

Aliyekuwa mwanahabari na mtangazaji wa siku nyingi na mchambuzi wa maswala ya muziki wa siku nyingi redio tumaini FRED MOSHA amefariki leo alfajiri ,kwenye hospital ya taifa Muhimbili alikokuwa amelazwa kupigania uhai wake baada ya kuugua kwa muda mrefu Saratani.

Bwana ametoa bwana ametwa jina la bwana lihimidiwe, Ameni!

Poleni wafiwa. Duh, Fred, umetangulia kwenda ambako sisi wote tutakwenda.
 
Pumzika kwa Amani Fred Mosha, sauti yako muda wote naisikia, kila jmosi lazima nisikilize radio Tumaini jinsi unavyotoa ufafanuzi kihisiana na mziki wa zamani Tanzania na Congo, sikuamini niliposikia hizi taarifa kwamba umetangulia mbele za haki. Nani tena nitamsikiliza ili nijue historia ya mziki wa zamani? Nani atanikumbusha habari za kina Msondo Ngoma, habari za Mlimani Park, habari za Vijana Jazz, habari za Dar International, Moro Jazz, TP OK na bendi zingine. Jmosi ya leo nilijiandaa kukusikiliza ukielezea habari za mechi ya leo kipindi cha asubuhi na baadaye nikusikilize ukichambua mziki kuanzia saa tano, badala yake nasikia umefariki nilikosa pozi na kushindwa kufanya chochote. Pumzika kaka, najua ni safari ya wote lakini inauma. Pole kwa familia kwa msiba huu.
 
Pumzika kwa Amani Fred Mosha, sauti yako muda wote naisikia, kila jmosi lazima nisikilize radio Tumaini jinsi unavyotoa ufafanuzi kihisiana na mziki wa zamani Tanzania na Congo, sikuamini niliposikia hizi taarifa kwamba umetangulia mbele za haki. Nani tena nitamsikiliza ili nijue historia ya mziki wa zamani? Nani atanikumbusha habari za kina Msondo Ngoma, habari za Mlimani Park, habari za Vijana Jazz, habari za Dar International, Moro Jazz, TP OK na bendi zingine. Jmosi ya leo nilijiandaa kukusikiliza ukielezea habari za mechi ya leo kipindi cha asubuhi na baadaye nikusikilize ukichambua mziki kuanzia saa tano, badala yake nasikia umefariki nilikosa pozi na kushindwa kufanya chochote. Pumzika kaka, najua ni safari ya wote lakini inauma. Pole kwa familia kwa msiba huu.
Pole sana kaka
 
Back
Top Bottom