Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,413
- 55,987
Exactly sasa km huyu umalaya si hulka tu!!jamani mpk kutaka kutoroka!!!Malezi ukiangalia kwao wapo wawili tu,yeye ndo wa kike pekee. Ana bahati msala wa lulu haukumuangukia yeye
Exactly sasa km huyu umalaya si hulka tu!!jamani mpk kutaka kutoroka!!!Malezi ukiangalia kwao wapo wawili tu,yeye ndo wa kike pekee. Ana bahati msala wa lulu haukumuangukia yeye
Exactly sasa km huyu umalaya si hulka tu!!jamani mpk kutaka kutoroka!!!
Eti siku hiyo linahojiwa linajiliza " mi ndiku sikumpenda kuna mtu ninaye nampenda sana" wanawake sisi
We ulikuwa unamjua ababuu?...weka mbali na chekecheaHee ngoma tena aiseee hatar.
Very True...we unamjua Irene kiukweli..Irene hajatulia toka mtoto kapinda vibaya mnoo
Kuna siku nilikua kkoo pale shule ya Uhuru kabla hawabomoa "keep left'alikuja anaendesha bonge la pikipiki km ulaya vile halafu alikua mwendo kidogo akakata bonge konaaaa
Wamachinga walimshangiliaaa halafu akasimama akaondoka huyoooo!yule kapinda kuolewa tulishangaa mana km maskendo tuu anayo ila ndoa bahati
mbona bongo muvi wengi wanafukuliwa viazi vya uporoto iyo ndio michezo yaoUwoya wadau wengi wanasema.anawafukulisha viazi washkaji hata h baba alishawahi kulala kwamba Irene anamlazima kufukua viazi .
Kuna mdau humu jf alishawahi kusema pia Irene amekubuhu kufukulisha viazi na kwamba jamaa aliotoka nao washakata tiketi kibao na kwamba ana file pale mwananyamala hospjtal kuhusu ile ishu .
So sishangai hata janja saivi atakuwa anafukua viazi vya uporoto kila siku .
ababuuu nomaaa!sishangai kua na ngoma kuna kipindi wolpa na uwoya walikhitilafiana sababu ya ababuuWe ulikuwa unamjua ababuu?...weka mbali na chekechea
Kaivuruga bongo movie ya kike kama baikoko, acha kabisa
Aliolewa ili akaangalie mkato wa chumba na kutukomesha wambeaEti siku hiyo linahojiwa linajiliza " mi ndiku sikumpenda kuna mtu ninaye nampenda sana" wanawake sisi
msela mpenda hogoooo!Very True...we unamjua Irene kiukweli..
Bonge moja la msela ila anapenda mab.o.ro hatari hatari
Hahahahahah mzee baba ww ni mzaramo nin mbona unafunguka ki mafumbo mpaka bhasi,haya bhana yetu naKwani kuna Mtu yoyote kataja labda Ugonjwa uliomuua Ndikumana au unawashwawashwa tu Mkuu? Acha Kiherehere na tena usitake Watu tukafunguka zaidi juu ya tatizo lake ili ndiyo ujue kwamba sababu Kuu ni nini. Ukipata muda jioni Saa 1 njoo maeneo ya Leaders Club katika Goli la Chips na Kiosk cha Mchezaji mmoja wa Yanga ambaye alipata taabu sana kwenda kumuona Nonda Shabaan Papii huko Kwao Congo ila ndiyo aliyemsaidia pia ' Ndiku ' kuja nchini hadi akasajiliwa na Simba SC kisha utayapata zaidi na kama hapo utaona mbali mida ya Saa 3 tukutane Magomeni Mikumi jirani kabisa na Kijiwe cha Timu ya Masela ya Friends Rangers ambako utakutana na Mchezaji mmoja ambaye sasa anaishi katika nchi iliyoifanya Italia isicheze World Cup mwakani akupe na mengineyo zaidi kwani Yeye ndiyo aliyempokea ' Ndiku ' huko ng'ambo na alilijua mapema / siku nyingi sana tatizo lake alilokuwa nalo. Kama ukishindwa huko kote kama unaweza nenda Mwananyamala Hospital kamtafute Nesi mmoja hivi mcheshi mcheshi sana pale jina lake la mwanzo linaanzia na herufi J na la herufi yake ya mwisho katika jina lake la Ubini / Ukoo linaishia na herufi E kisha atakupa status nzima ya Mrs. Dogo Janja. Kila la Kheri.
Kutofanya mazoez ni hatari zaidi, utapata cardiac arrest, blood pressure, heart attack, stroke nk..Duh!Kipi bora sasa? michezo ama mazoezi au kukaa bila kuchosha misuli ya moyo?
Vipi Emmanuel MbashaUsiruhusu mkeo wa zamani aolewe na dogo, ni tiketi ya kwenda futi sita chini.