BAK,
Kabla sijachangia naomba nikuulize... influential katika nyanja gani maana kuna wanasiasa, kuna wenye vijisenti, nk tuangalie vigezo vipi?
BAK,
Kabla sijachangia naomba nikuulize... influential katika nyanja gani maana kuna wanasiasa, kuna wenye vijisenti, nk tuangalie vigezo vipi?
Wana influence nini? Religious thought, political landscape, popular culture, music, and art;?, scientific and technological development? Business and investment? Labda tuweke wigo wa aina fulani hivi (focusing) vinginevyo, unaweza kukuta watu wanainfluence vitu vingi tu na watu ni wengi mno na namba ya 100 haitawatendea haki wengine
Nadhani mtu akiwa influential, no matter yuko wapi, bado atabaki influential!
Jesus, is masihi, mtume, (NIKO AMBAYE NIKO) -religion
Newton-scince
Pele-mpira
Michael Jackson-muziki
hawa wote ni influential ktk nyanja tofauti lakini so long wanafanya kwa jamii, watajulikana tu!
1. Nyerere
2. Chachage
Au walio hai tu??
1. Masanja Mkandamizaji
2. Joti
3. xxxxxxx
Swali zuri sana, WoS. Wanaweza kabisa kuwa na vijisenti, lakini walivyovipata kihalali kama Mengi, siyo kama akina Mkapa, Chenge, Rostam, Mramba n.k. Wanaweza pia kuwa wanasiasa, maprofessor, wafanyabiashara na hata wanamichezo pia lakini nyendo zao kimaisha zinakubalika na walio wengi katika jamii ya Watanzania. Kuna huyu jamaa anayeitwa John Mashaka naye anastahili kabisa kuwemo kwenye list hiyo. Wanaweza pia kuwa wanaishi Tanzania au nje ya Tanzania.
Wengine madhambi yao bado kujulikana ingawa wanapata fedha unazoziita za "halali". Je wanalipa kodi stahiki kwa Selikari? Hawanyonyi wafanyakazi waliopo chini yao? Wanaweza kuwa influential lakini pia wakawa wamefanya maovu kibao ila wanahakikisha hayaifikii jamii. Kuna baadhi ya maprof, ambao hula Uroda na wanafunzi wao, je nao tuwaweke au kwa vile taarifa zao hatuna hivyo hakuna uhalali wa kuwaacha? Na yule ambaye tunasema ni fisadi je pale mahakama itakapomsafisha tutam include katika list? Ndugu ungeweka vigezo vinavyoeleweka na ambavyo havijicontradict.
Wengine madhambi yao bado kujulikana ingawa wanapata fedha unazoziita za "halali". Je wanalipa kodi stahiki kwa Selikari? Hawanyonyi wafanyakazi waliopo chini yao? Wanaweza kuwa influential lakini pia wakawa wamefanya maovu kibao ila wanahakikisha hayaifikii jamii. Kuna baadhi ya maprof, ambao hula Uroda na wanafunzi wao, je nao tuwaweke au kwa vile taarifa zao hatuna hivyo hakuna uhalali wa kuwaacha? Na yule ambaye tunasema ni fisadi je pale mahakama itakapomsafisha tutam include katika list? Ndugu ungeweka vigezo vinavyoeleweka na ambavyo havijicontradict.
Angalizo zuri sana hilikwa sababu wengine wanaonekana kama malaika kumbe wana madhambi kuliko hawa wanaoimbwa kila siku kuwa ni mafisadi