tuusan
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 17,973
- 20,198
Wewe umepost ya S.A. unasema ni ya ushago kwenu bure kabisaUsiongee upuzi wakati mwenzio amepost Thika Road akasema ni bongo.
Wewe umepost ya S.A. unasema ni ya ushago kwenu bure kabisaUsiongee upuzi wakati mwenzio amepost Thika Road akasema ni bongo.
Kwani unapoiba picha husomi kwanza ? Au Kuna eneo linaitwa hivyo kenya? Au Ndio wale wapiga chabo hadi jina la uliyepiga chabo 🤣🤣🤣🤣
View attachment 1098541
Sasa lete data ya Tanzania tulinganishe.
Wewe umepost ya S.A. unasema ni ya ushago kwenu bure kabisa
tuusan amekubali Kenya iko na barabara nyingi tarmarced kuliko Tanzania. Sasa mbona tubishane sana.Pita pita huko Nyuma Mkuu Tuusan ameshare mara kibao.
Toa taarifa kutoka chanzo cha uhakika kama nilivyofanya,mmezidi wizi hakuna hata mmoja mwenye kuleta data from reliable source kila mmoja wenu analeta vitu anavyowaza....mm nmeleta taarifa kutoka kwenye gazeti toleo maalum ninyi fanyeni hivyo tuende sawa,Kuhusu ubora naWashangaa sana mkisema zenu ni bora mnapimaje kupitia picha?tuusan amekubali Kenya iko na barabara nyingi tarmarced kuliko Tanzania. Sasa mbona tubishane sana.
Nyie reliable source yenu iko wapi? Si ni wewe uliyepost hapa kiblogi eti kusema Kenya 90% ya njia ni mbovu, hicho kiblogi ndio reliable source?Toa taarifa kutoka chanzo cha uhakika kama nilivyofanya,mmezidi wizi hakuna hata mmoja mwenye kuleta data from reliable source kila mmoja wenu analeta vitu anavyowaza....mm nmeleta taarifa kutoka kwenye gazeti toleo maalum ninyi fanyeni hivyo tuende sawa,Kuhusu ubora naWashangaa sana mkisema zenu ni bora mnapimaje kupitia picha?
Do you really need to be an expert to say the first road in Kenya is of better quality than the second in Tanzania? Vitu zingine ni obvious buda.Toa taarifa kutoka chanzo cha uhakika kama nilivyofanya,mmezidi wizi hakuna hata mmoja mwenye kuleta data from reliable source kila mmoja wenu analeta vitu anavyowaza....mm nmeleta taarifa kutoka kwenye gazeti toleo maalum ninyi fanyeni hivyo tuende sawa,Kuhusu ubora naWashangaa sana mkisema zenu ni bora mnapimaje kupitia picha?
Unacompare aje dualcarriageway na single lanes road?wewe ulienda shule ganiDo you really need to be an expert to say the first road in Kenya is of better quality than the second in Tanzania? Vitu zingine ni obvious buda.
Haha, eti Dar roads are clean. Bring the Camera closer to Nairobi Streets
View attachment 1098615
View attachment 1098626View attachment 1098627zView attachment 1098633
Hi,
I thought you are dead
Unacompare aje dualcarriageway na single lanes road?wewe ulienda shule gani
Wewe ndio mjinga mkuu zaidi ya wote kwenye hii thread. Hakuna kitu cha maana unachoongeza kwa thread kando na kushabikia wenzako kiujingaujinga.Wanapost barabara za ulaya wakibanwa mahali wanaanza kukomalia kitu kimoja
Ninajua bwege, nijifunze mara ngapi, hiyo ni habari nimequote from your magazinePlease, learn the definition of those two terms before embarrassing yourself.
Wakenya sawa na mama wa kibarazani.Wakenya ni Matapeli +Dharau tu
Maneno mengiiii!!!
Next time quote kitu unaelewa, sio kujiabisha bure.Ninajua bwege, nijifunze mara ngapi, hiyo ni habari nimequote from your magazine
Mjinga ni ww unaetetea wenzako wanaoleta barabara za ulayaWewe ndio mjinga mkuu zaidi ya wote kwenye hii thread. Hakuna kitu cha maana unachoongeza kwa thread kando na kushabikia wenzako kiujingaujinga.