babayao255
JF-Expert Member
- Apr 4, 2019
- 11,011
- 26,651
Wana akili fupi balaaWakenya sawa na mama wa kibarazani.
Kelele nyingi hakuna kitu.
Toka mwanzo wa uzi mpaka mwisho ni picha za Thika Highway.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wana akili fupi balaaWakenya sawa na mama wa kibarazani.
Kelele nyingi hakuna kitu.
Toka mwanzo wa uzi mpaka mwisho ni picha za Thika Highway.
Kwa iyo journalist wenu hawajielewi, upo sawa. sio journalist tu, hadi nyie wananchiNext time quote kitu unaelewa, sio kujiabisha bure.
Wewe ndio hujielewi. Umequote kitu ila kuinterprete hujui. Journalist hana shida. Ndio maana nakwambia next time quote vitu unavyoelewa.Kwa iyo journalist wenu hawajielewi, upo sawa. sio journalist tu, hadi nyie wananchi
Unaugua bro,kama wafanya comparison weka vitu vinavyoendana....kizungu kingi sio suluhuI am not comparing them, I am telling you the dual carriageway is obviously of superior quality because you asked what we use to determine the quality. Ours are bigger and better and marked.
Thank you for acknowedging they are incomparable though. Kwa hivyo wacheni kujilinganisha nasi maanake zetu ni bora na haziwezi linganishwa na zenu.
Hebu sema ww genious tofauti ya tarmac na paved roads ni nini, au ni samethingWewe ndio hujielewi. Umequote kitu ila kuinterprete hujui. Journalist hana shida. Ndio maana nakwambia next time quote vitu unavyoelewa.
Unaugua bro,kama wafanya comparison weka vitu vinavyoendana....kizungu kingi sio suluhu
Acha kumix madawa,hii Ni morogoro road from chalinze to Morotuusan yani unasema, gari lako ni bora kuliko langu wakati uko na Toyota Axio na mie niko na Range Rover Vogue. Alafu nikishalete gari langu unaanza kulalamika eti yafaa nifanye comparison ya vitu vivyoendana wakati ni wewe uliyetaka mashindano.
Quality yake sio mbaya vile ila za Kenya nyingi zimeishinda au kutoshana. Nyie barabara zunu nyingi sio quality poa vile.Acha kumix madawa,hii Ni morogoro road from chalinze to Moro View attachment 1098755
we jamaa bana eti quality sio mbaya . OkeyQuality yake sio mbaya vile ila za Kenya nyingi zimeishinda au kutoshana. Nyie barabara zunu nyingi sio quality poa vile.
Ona hapa tunavyojenga vitu kali mashambani. Tanzania unaweza pata interchange mashambani?
Kisha angalia road furniture mashambani zilivyo.
Na hapa ni Northern Kenya - sehemu mnayopenda kuiponda eti haijadevelop.
Masaa machache mmekua mkisema eti sisi tunapost za mjini mkituambia tupost za mashambani, sasa nashangaa inakuwaje mnarudi mjini wenyewe? Fimbo imewaingia ehee? 😂 😂 😂 😂we jamaa bana eti quality sio mbaya . Okey View attachment 1098781
I see a newly constructed road..good to youMasaa machache mmekua mkisema eti sisi tunapost za mjini mkituambia tupost za mashambani, sasa nashangaa inakuwaje mnarudi mjini wenyewe? Fimbo imewaingia ehee?
Linganisha hiyo na hii...........
More excuses. 😂 😂 😂 😂I see a newly constructed road..good to you
Bring something quality like this one View attachment 1098815View attachment 1098814View attachment 1098816
Masaa machache mmekua mkisema eti sisi tunapost za mjini mkituambia tupost za mashambani, sasa nashangaa inakuwaje mnarudi mjini wenyewe? Fimbo imewaingia ehee?
Linganisha hiyo na hii...........