REDEEMER.
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 8,925
- 14,880
We mpuuzi hiyo barabara ya Tanga Horohoro imejengwa na American company ni moja kati ya best roads in Africa, Acha ufala.Barabara ya kutoka lungalunga hadi Mombasa inafanyiwa upgrading ujenzi tiyari umeanza , kutoka lungalunga hadi ukunda si nzuri vile lakini kutokea ukunda hadi Mombasa ipo Sawa,Ile ya kwenu kutoka tanga Hadi horohoro haina potholes lakini quality yake ni poor.
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app