Tanzanians flying the flag high overseas

Tanzanians flying the flag high overseas

Geza Ulole Utaletewa hadi list ya wapiga deki hollywood. umechokoza nyuki
 
Last edited by a moderator:
one common syndrome affecting people like lawmaina78 is that, think to fly a flag high outside of the country, can only be done through athletes.my brownie points to asanterabi malima for proving it wrong.
 
Last edited by a moderator:
hahaha subiri kesho asubuhi waamke pale nairobi.nasubiri kwa hamu huu mnakasha.

Usisubiri asubuhi, nakupa jibu sasa hivi. Kwanza nawapa hongera zao hao vijana, tofauti ya Wakenya na Wabongo ni kuwa, angekuwa Mkenya, Wabongo wangefuatilia na matusi na mikejeli kibao, ilhali sisi tunawapa hongera tu.
Pili, bendera tunapeperesha kwa kila nyanja ama sectors, sio michezo tu. Invention zetu zipo kuanzia Kenya hadi ulaya, kuziorodhesha hapa nitajaza huu ukurasa bure.

Tayari nimewatag kwenye nyuzi kadhaa zinazohusu Wakenya wanaofanya maajabu, ila baadhi yenu mnapita kimya na wengine wanarusha matusi. Tushawazoea.

Labda kukugusia tu, kijana Mkenya wa miaka 13 ndiye wa kwanza kwenye top 10 inventions za 2013 http://www.ibtimes.com/top-10-inven...r-sniffing-computer-program-more-photos-video
 


Kenyan flying His countries flag high helping helpless neighbor
1506908_981348051879613_7078372765285902300_n.png

Tanzania yashindwa kupeleka kocha na watu wa kuwahudumia mabondia kwenye mashindano ya madola.Bondia Suleiman Kidunda,ahudumiwa na wakenya wakati akipigana na Kehinde Ademuyiwa wa Nigeria.
 
Last edited by a moderator:
Manyang'au, wacheni fujo.

nyang'au balozi mteule wa alshabaab tanzania karibu.mla bata canada na wazungu kuota jua ni tz.
National
[h=1]Kenya arrests Tanzanians in terror dragnet[/h]
ico_plus.png
Share
ico_bookmark.png
Bookmark
ico_print.png
Print
ico_email.png
Email Rating

TZ.jpg
3: The number of Tanzanians arrested by Kenyan military personnel nea Lamu
 
one common syndrome affecting people like lawmaina78 is that, think to fly a flag high outside of the country, can only be done through athletes.my brownie points to asanterabi malima for proving it wrong.
Kenyan flying His countries flag high helping helpless neighbor
1506908_981348051879613_7078372765285902300_n.png

Tanzania yashindwa kupeleka kocha na watu wa kuwahudumia mabondia kwenye mashindano ya madola.Bondia Suleiman Kidunda,ahudumiwa na wakenya wakati akipigana na Kehinde Ademuyiwa wa Nigeria.
 
Geza Ulole Utaletewa hadi list ya wapiga deki hollywood. umechokoza nyuki

Kenyan flying His countries flag high helping helpless neighbor
1506908_981348051879613_7078372765285902300_n.png

Tanzania yashindwa kupeleka kocha na watu wa kuwahudumia mabondia kwenye mashindano ya madola.Bondia Suleiman Kidunda,ahudumiwa na wakenya wakati akipigana na Kehinde Ademuyiwa wa Nigeria.
 
Kenyan flying His countries flag high helping helpless neighbor
1506908_981348051879613_7078372765285902300_n.png

Tanzania yashindwa kupeleka kocha na watu wa kuwahudumia mabondia kwenye mashindano ya madola.Bondia Suleiman Kidunda,ahudumiwa na wakenya wakati akipigana na Kehinde Ademuyiwa wa Nigeria.

Tumeshakuchoka sasa na picha yako, vumbua kipya.
 
Tumeshakuchoka sasa na picha yako, vumbua kipya.

hahaha anairudia ili ku-draw attention from the might and humble tanzanians.huyo kamba waltham ni wa kumdharau tu mkuu. asanterabi malima amebomoa brain structure ya majirani.
 
Last edited by a moderator:
Kenyan flying His countries flag high helping helpless neighbor
1506908_981348051879613_7078372765285902300_n.png

Tanzania yashindwa kupeleka kocha na watu wa kuwahudumia mabondia kwenye mashindano ya madola.Bondia Suleiman Kidunda,ahudumiwa na wakenya wakati akipigana na Kehinde Ademuyiwa wa Nigeria.
This is among sum of EAC Objectives so its your obligation also to do so.
 
Kenyan flying His countries flag high helping helpless neighbor
1506908_981348051879613_7078372765285902300_n.png

Tanzania yashindwa kupeleka kocha na watu wa kuwahudumia mabondia kwenye mashindano ya madola.Bondia Suleiman Kidunda,ahudumiwa na wakenya wakati akipigana na Kehinde Ademuyiwa wa Nigeria.

Hata invetion ya Asanterabi Malima itatibu Wakenya pia.
 
Usisubiri asubuhi, nakupa jibu sasa hivi. Kwanza nawapa hongera zao hao vijana, tofauti ya Wakenya na Wabongo ni kuwa, angekuwa Mkenya, Wabongo wangefuatilia na matusi na mikejeli kibao, ilhali sisi tunawapa hongera tu.
Pili, bendera tunapeperesha kwa kila nyanja ama sectors, sio michezo tu. Invention zetu zipo kuanzia Kenya hadi ulaya, kuziorodhesha hapa nitajaza huu ukurasa bure.

Tayari nimewatag kwenye nyuzi kadhaa zinazohusu Wakenya wanaofanya maajabu, ila baadhi yenu mnapita kimya na wengine wanarusha matusi. Tushawazoea.

Labda kukugusia tu, kijana Mkenya wa miaka 13 ndiye wa kwanza kwenye top 10 inventions za 2013 Top 10 Inventions Of 2013: Bladeless Windmills, A Cancer-Sniffing Computer Program And More [PHOTOS, VIDEO]

We kitoto, hivi ni kweli eti kenyata kakubaliana na al shabab mombasa iwe somalia?
 
hahaha anairudia ili ku-draw attention from the might and humble tanzanians.huyo kamba waltham ni wa kumdharau tu mkuu. asanterabi malima amebomoa brain structure ya majirani.

Hawa wakenya wajinga sana, wanajiona wapo juu kwenye kila kitu. hata vingine vya kipuuzi. Tutarekebishana nao hadi wakome, hapa sio nairobi
 
Whats going on here bandugu ? I smelt the smelling of personal attacks.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom