Tanzanians abroad send home Sh. 1 trillion yearly

Tanzanians abroad send home Sh. 1 trillion yearly

makato hapa ni nafuu kulinganisha na WU au MG nk... sio...?

Ni nafuu sana.

Wewe unajiandikisha huko na unaweza kufanya majaribio kuona inakuwaje na ukiona poa waendelea na utaratibu.

Lakini pia kuna njia ingine ambayo unafungua akaunti benki yoyote kama CRDB na NMB, halafu unaweza ukawa unaiendesha ukiwa nje ya nchi kupitia online banking.

Hii inarahisisha utaratibu wa kufanya money transfers kutoka nje kwenda TZ halafu una-allocate locally (kwa mama, babu baba, na hata kulipia baadhi ya kodi) lakini kwa kupitia Online banking.

Hii iko kiufundi zaidi na ntaielezea baadae nkiwa nimefanikisha kila kitu.
 
Ni nafuu sana.

Wewe unajiandikisha huko na unaweza kufanya majaribio kuona inakuwaje na ukiona poa waendelea na utaratibu.

Lakini pia kuna njia ingine ambayo unafungua akaunti benki yoyote kama CRDB na NMB, halafu unaweza ukawa unaiendesha ukiwa nje ya nchi kupitia online banking.

Hii inarahisisha utaratibu wa kufanya money transfers kutoka nje kwenda TZ halafu una-allocate locally (kwa mama, babu baba, na hata kulipia baadhi ya kodi) lakini kwa kupitia Online banking.

Hii iko kiufundi zaidi na ntaielezea baadae nkiwa nimefanikisha kila kitu.
sawa mkuu... tuna subiria taarifa zaidi
 
Nadhani nchi za Asia ndo zinaongoza kwa wananchi wao kutuma hela nyingi sana nyumbani.
 
Nadhani nchi za Asia ndo zinaongoza kwa wananchi wao kutuma hela nyingi sana nyumbani.
wao wamezagaa sana... na wana manchi yenye idadi kubwa sana ya watu kama India, China...
 
Tupe na hesabu vigogo wa serikali na chama twawala wanaenda kuficha nje kama hazijazidi hizi
 
Nadhani nchi za Asia ndo zinaongoza kwa wananchi wao kutuma hela nyingi sana nyumbani.

Nafikiri uko sawa yaani wafilipino, wahindi, wapakistan, na waasia wengine.

Afrika inaongozwa na Nigeria na Ghana halafu wanafuatia Kenya.
 
Tupeni shikamooo. ..tunachangia zaidi kuliko hata pato zima la utalii. .halfu bado wanatuzuia kununua viwanja!
 
Dodoma:
Tanzanians living abroad sending home an average of $456.5 Million (about Sh. 1.03 trillion) annually.

A total of $ 2.283 billions (about 5.3 trillion) was remitted between 2013 to 2017, according to Ministry of foreign affairs and east African cooperation.

However the figure is lower than what other countries in East African each receive from their citizens abroad:

For instance; kenyan diaspora sent home a total of $1.95 billion in 2017 alone

Data published by bank of uganda shows that ugandan diaspora remitted a total of $1.2 billion in 2016, up from $ 1 billion in 2015

Mr. Ole Nasha...
told the parliament that the ministry had directed tanzanian embassies to keep registers of tanzanian living in various countries, their economic activities, skills and professional level to ensure that the government had accurate data on what and how they could contribute to the national economy





Tanzanians abroad send home Sh1 trillion yearly
Hapa kwenu mmebana fursa za kwenda nje unategemea nini? Kenya ukipata tripu ya kwenda marekani unasaidiwa kila kitu ila hapa utaanza kuhojiwa. Wenzetu hawana longolongo, kwa mfano wakenya waliopo nje ya nchi wapo zaidi ya milioni tatuwakati watanzania hata laki tano hawavuki despite ya ukubwa wa nchi na population advantage tuliyonayo. Hatuoni umuhimu wa kuwa na diplomasia ya kutuma watanzania nje ya nchi wakamate fursa huko tunabaki kuwadanganya eti tuna simba, chui, serengeti, mlima kilimanjaro nk so fursa zitawafuata hapa.

Watanzania hatufahamu kwamba fursa ya mlima kilimanjaro sio lazima ukae marangu ndio utaipata maana hata ukikaa iceland bado mlima upo unaweza kupata fursa ya kuiexploit serengeti ukiwa antactica ana sehemu nyingine za dunia, tena ukiangalia tuna utandawazi siku hizi dunia imewekwa kiganjani tu ila bahati mbaya instead ya kwenda mbele sisi tunarudi nyumba leo tuna aza kuzima mitandao, namna hiyo hakuna mtanzania ataondoka nchini.

Tujenge utamaduni wa kuwahimiza atanzania waende nje ya nchi wapate exposure ya kimataifa ili waweze kuiexpose Tanznia kimataifa sio kujisifia oooh kuna amani mara sijui ser ngeti wakati ukiingia bara la asia tu hapo hakuna wanaoifahamu nchi yetu ila wanaijua Kenya and Uganda na South Africa na Nigeria ila Tanzania tunaendelea kudanganyana tu ati ooooh tubaki tujenge nchi yetu kwani nchi inaweza kujengwa hata watu wakiwa wanaishi Moscow cha muhimu ni uwepo wa resources za kuimarisha uchumi thats all.
 
Wafilipino walioko nchi za Emirates kwa mwaka wanapeleka nyumbani $1 trillion kwa mwaka ambayo ni zaidi ya mauzo yetu yote nje
Sasa jaribu kwenda TAESA kuomba kibali cha kwenda huko utajikuta lock up Oyster Bay polisi
 
Wafilipino walioko nchi za Emirates kwa mwaka wanapeleka nyumbani $1 trillion kwa mwaka ambayo ni zaidi ya mauzo yetu yote nje
Sasa jaribu kwenda TAESA kuomba kibali cha kwenda huko utajikuta lock up Oyster Bay polisi
hahahahaaa...
 
Back
Top Bottom