Edson
JF-Expert Member
- Mar 7, 2009
- 9,846
- 5,076
Kichwa cha thread kinasema "Tanzanian son..." . Huyu si Tanzanian son kwa mujibu wa habari, kwa sababu whatever "Tanzanian son" is, huwezi kuwa Tanzanian son kama wewe si Tanzanian, na kwa mujibu wa habari jamaa alishaukana uraia wa Tanzania.
Labda mleta mada alikusudia kuandika "Tanzanian's son...". Big difference.
lakini si umeelewa?! deep down in him ni mbongo go west , go east