CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,789
- 8,914
Kwa kweli kama hili jambo linaukweli basi nashawishika kusema kuna laana inatutafuna watanzania,
mkuu si kwamba ni mambo ya kubuni haya, siwezi buni vitu halafu niweke humu janvini, tafuta watu unao wafahamu wakule MUGUMU SERENGETI WANAWEZA NA WAO KUKUPA MAELEZO ZAIDI.
KULE NI NOMA, WEWE FIKILIA MTU ANAMILIKISHWA HIFADHI KWA MIAKA 99