The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,873
jamani naona kama wasichana wengi siku hizi
wanajihusisha na ulesbian so nauliza
hiii ni fasheni imeingia au kuna tatizo kubwa nyuma yake?
je wote wanaojihusisha na tabia hizo za kusagana ni kweli wapo
hivyo au wana hasira na wanaume tu????????????
wanajihusisha na ulesbian so nauliza
hiii ni fasheni imeingia au kuna tatizo kubwa nyuma yake?
je wote wanaojihusisha na tabia hizo za kusagana ni kweli wapo
hivyo au wana hasira na wanaume tu????????????