Tanzanian kuwa na Air craft carrier strike group

VentureCapitalist

JF-Expert Member
Mar 12, 2018
402
539
Nimekaa nikajiuliza kwanini nchi zilizokuwa tajiri hapa duniani zinatumia pesa nyingi sana kujihimarisha kijeshi.Hakika hizi nchi sio wajinga kutumia mabilioni ya fedha za walipa kodi wao kutengeneza zana za kisasa za kivita.Ndio hapo nikatafakari sijui ni mwaka gani nchi yetu na sisi tutakuwa na carrier strike group ambayo ndani mwake kuna aircraft carrier yenye uwezo wa kubeba ndege vita 90,destroyers,cruiser,nyambizi,pamoja na meli za kusupply mizigo.Na tukiwa nayo tutaita Carrier strike group Nyerere.
 
Bajeti yetu ya mwaka 1,ndo inaweza nunua Aircraft Carrier moja, kwa hiyo tusitishe mishe zote ziende kwenye hilo dude
Kuna shida kwenye akili zetu au utendaji wetu..kila kitu sio cha kununua vingine unda mwenyewe..au hizi taaluma watu wache kuzisoma tusome "Political Science". Hadi leo tunaharibu mazao ya misitu kwa kuunda majahazi na mitumbwi ya mbao kwa kigezo cha asilia wakati chuma kimejaa karibia nchi nzima..why China ,why Japan why Greece?
 
Bajeti yetu ya mwaka 1,ndo inaweza nunua Aircraft Carrier moja, kwa hiyo tusitishe mishe zote ziende kwenye hilo dude
hata angalau wanunue submarine tuone kwamba kuna mwelekeo wa kujihimarisha kijeshi maana huko mbeleni kunaonekana nchi zitadundana hatari
 
Kuna shida kwenye akili zetu au utendaji wetu..kila kitu sio cha kununua vingine unda mwenyewe..au hizi taaluma watu wache kuzisoma tusome "Political Science". Hadi leo tunaharibu mazao ya misitu kwa kuunda majahazi na mitumbwi ya mbao kwa kigezo cha asilia wakati chuma kimejaa karibia nchi nzima..why China ,why Japan why Greece?
umeona ehh
 
Ndoto zingine ni nzuri.
Lakini kumiliki hizo zana baki je kuzihudumia tunaweza??
Aircraft carier na mafrigates zake nyambizi destroyers na ma SAM , SSM, na asault ships kwa uchache tuu!!
 
Nyasi tulizo kula mpaka ikanunuliwa ndege ya raisi zinatosha jamani. Leo hii watumishi wahapandi madaraja sababu ya kununua bombadia na drimliina
 
We jamaa jinga sana nchi za scandinavia zinaongoza kwa maisha bora kuliko marekani lakin nyingi hazina hata hizo carrier wanajali ustawi wa watu hakuna tishio la kufanya tufikirie yote hayo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom