Tume ya Katiba
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 4,896
- 1,866
Kanumba kafa?
Isingekuwa ni huu msiba wa Stephen Kanumba pengine nisingejua kiwango cha akili cha hawa wanaojiita ma 'star' wa Tanzania.
Leo asubuhi Clouds Tv walikuwa wanarusha live kipindi maalum cha mahojiano na watu waliokuwa wanamfahamu vizuri Kanumba.
Cha Ajabu Ray sijui ndiye Vincent Kigosi yeye kashikilia tu ubishoo tena wa kitoto uliogubikwa ushamba.
Wenzake wanaomboleza na kusikitika yeye kashupalia: " .... unajua niliponununua ile Lexus yangu, na Kanumba pia akanunua. Na baadae nikanunua Gari dogo naye akanunua, hivi sasa nina kiwanja Mbezi na utashangaa hata Kanumba alinunua pale jirani yangu kabisa ......................!"
Bongo Movie indeed
Kifo cha msanii steven kanumba kimesababishwa na radhi ya baba yake mzazi
lulu ulinitenda ukakimbilia wenye pesa. Sasa unaona matokeo yake?
![]()
huyo hapo lulu,ajali kazini hiyo duh
Wewe ni raia wa wapi?
Just take a second to imagine that in the scandle of Kanumba's death Wema plays as LuLu.How could Tanzania errupt if not xplode?