Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,502
- 911,254
Clouds fm live dakika zilizopita mtu aliepo nyumbani kwa marehemu, watu wanazidi kufika ndugu zake bado hawajafika.
Kanumba alikuwa anaoga wanavyodai majirani saa sita usiku alitoka bafuni kuingia chumbani eti akamkuta Lulu anaongea simu ya mapenzi na mwanaume mwingine, wakagombana na akasukumwa na kuangukia kujigonga kichwa na ndio kilichosababisha kifo chake. sasa msemaji amesema kuwa hii ndivyo inavyoelezwa pale na wanasubiri wataalamu watoe taarifa yao, inaelekea ugomvi ulikuwa mkubwa kati yao hadi majirani walisikia.
Kwa hiyo kwa sasa ni kauawa na Mpenzie
Miez michache iliyopita hapa kuna thread ilianzishwa kuwa Kanumba kafia kwenye msitu wa Amazon akiact movie.
Tarehe 1/4 sikukuu ya wajinga watu walituma sana sms kwenye BBM kuwa the guy is dead.
ITV Alhamis walikuwa wakonyesha maisha ya Kanumba alipoanza kuagiza..
Jana michuzi alitoa clip ya kujikumbushia kuhusu Kanumba baada ya kutoka BBA.
Today...He is dead kiukweli!
Dear Wadauzz
nasikitika kutangaza kifo cha Steven kanumba ambaye amefariki leo saa saba ya usiku,maiti ipo Muhimbili hospital.
chanzo cha kifo,inasemekana Lulu na Kanumba were dating secretly,na walikuwa pamoja wakati wa kifo chake,Lulu alimsukuma Kanumba wakiwa katika ugomvi na kanumba akadondoka na kutoa damu na ndipo mauti ilimshika
kwa sasa Lulu yupo Osterbay police.
nitawaletea more updates
ila tusimlaumu Lulu kwani ugomvi katika mapenzi unatokea.
Angalizo
uki comment naomba ujue nilikuwepo eneo la tukio kuanzia Home kupeleka maiti hosp na kurudi kwake Sinza,kwa ujumla sijalala,
ni hilo tuu
hi ma pipo
kama nilivyowaahidi nitawaletea updates sasa Lulu(hot Lulu)yupo kituoni police
na mahututi kwani anamaumivu na majeraha mengi sana usoni,lulu kapasuliwa pia na Kanumba,hawa watu walikuwa wapenzi wa muda mrefu,chanzo ni simu jamani,kanumba aliona lulu anapigiwa simu za kuitwa sana kwenye madili,sasa jamaa(marehemu Kanumba)akashikwa wivu,duuu mapenzi ni hatarii
Ok! Its GOD's