pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 17,808
- 13,876
Acheni ujinga nyie mnaowaza bila akili! COVID ipo na inaua sana tu. Tatizo sisi Tz. hatutangazi matokeo ya upimaji kama nchi nyingine zinavyofanya!Utafiti ambao wazungu itawachukua muda mrefu ni kwanini watanzania hawajapata corona na hakuna case yeyote iliyoripotiwa na wakiangalia Kenya, Uganda wote kesi za corona zipo.
Wao hawajui kuwa hata wale Nzige kwetu hawakugusa walienda Kenya, Uganda wakafika Kagera wakageuza kwenda India
Tuendeleee kuomba Mungu
Tuendelee. Kujifukiza