Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,011
- 9,879
TANZANIA NI NCHI YA 109 KWA UBORA WA KIJESHI DUNIANI
Jarida la kimataifa la 'Firepower' ambalo linalinganisha uwezo wa vikosi vya majeshi duniani kila mwaka, limetoa orodha ya mataifa 138 pamoja nguvu walizo nazo
Ripoti hiyo imeangalia idadi ya silaha, jeshi na rasilimali fedha ambazo nchi hizi hutumia katika operesheni za kijeshi
Kwa ripoti ya mwaka 2020 Tanzania imekuwa ni ya 109. Uganda ni ya 86 na Kenya ni ya 84. Baadhi ya nchi huwa zina uwezo tofauti kila mwaka
Aidha Marekani, Urusi na China ni nchi tatu bora. Na nchi tatu za mwisho ni Somali ikifuatiwa na Liberia na ya 138 ni Bhutan
2020 Military Strength Ranking
Jarida la kimataifa la 'Firepower' ambalo linalinganisha uwezo wa vikosi vya majeshi duniani kila mwaka, limetoa orodha ya mataifa 138 pamoja nguvu walizo nazo
Ripoti hiyo imeangalia idadi ya silaha, jeshi na rasilimali fedha ambazo nchi hizi hutumia katika operesheni za kijeshi
Kwa ripoti ya mwaka 2020 Tanzania imekuwa ni ya 109. Uganda ni ya 86 na Kenya ni ya 84. Baadhi ya nchi huwa zina uwezo tofauti kila mwaka
Aidha Marekani, Urusi na China ni nchi tatu bora. Na nchi tatu za mwisho ni Somali ikifuatiwa na Liberia na ya 138 ni Bhutan
2020 Military Strength Ranking