Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,478
- 40,000
Kilichobaki sasa ni wakenya kutupatia dada zao tuwafanye wake wa pili na watatu kama zawadi
JK was there kwa capacity ya Mwenyekiti wa Au na alikuwa mtu wa kushuhudia na si zaidi .Siamini kama Kenya wanaweza kumsikiliza JK ama Ben Mkapa maana wanajua yale ya Kenya yametokea Kiteto na Zanzibar kote damu ilimwagika
Msichokijua... kuna ujumbe ambao ulitumwa na Marekani kwenda Ikulu yetu na kutoa pendekezo ambalo litakuwa wazi kabisa kwa Kenya kukubali. JK akiwa ndiye Mwenyekiti wa AU akaubeba ujumbe ule bila kuuchujisha. Ulipowekwa mezani hakukuwa na jinsi isipokuwa kukubali.
Hivi hamjajiuliza wakati Kofi aliweka manyanga chini na kususpend negotiations ikawaje apate moyo wa kuendelea tena. Marekani isipotaka jambo inakuwa vigumu kweli jambo hilo kufanyika. Baada ya nchi za Kiafrika kuachiliwa wajiamulie mambo yao wenyewe, Marekani ikaona isaidia katika kuamua mambo hayo.
Kwenye mkoba wa JK kulikuwa carrots na sticks zilizoandikwa "Made in USA". Walipoziona siyo Kibaki wala Raila aliyeweza kukataa...
sasa kama JK ameweza kufanya muafaka Kenya kwa muda mfupi kiasi hicho, anashindwa nini kufanya hivyo hivyo ili kupata muafaka visiwani? Hongera sana kwa kazi nzuri JK. Waliopoteza maisha yao, mwenyezi mungu awalaze mahali pema hopefully hakutakuwa na vurugu nyingine za kusababisha maafa zaidi.
Wamepata Hio uPM unaosema Hume.
Raila ni Executive Prime Minister and Leader of Government Business in Parliament. Anateua yeye na kusimamia mawaziri. Yaani he is the Head of Government.
Kibaki is the President and Commander-in-Chief of the Armed Forces. Anamteua PM ambaye kwa sasa lazima awe Raila kulingana na maafikiano. In future huyu PM atakuwa kiongozi mwenye chama chake kina viti vingi zaidi bungeni. Kibaki kama Rais au hata Rais wa awamu nyingine hawezi mvuta PM huyu kazi. Yeye atasema tuu kwamba anataka kumfukuza kazi ila Bunge lazima iidhinishe kutimuliwa kazini kwa PM by majority vote yaani 114 Votes.
Kifupi:
1. Raila Odinga - Prime Minister, Head of Government and Leader of Government Business in Parliament. Atasaidiwa na Makamu wawili toka ODM, chama chake. Raila ndio anawapatia kazi maMinista na kuongoza baraza la mawaziri hawa. Hawezi kuwafuta kazi bila kushauriana na Kibaki. Lazima nusu wawe toka chama chake cha ODM na nusu toka kwa chama cha Kibaki na rafikize (PNU/KANU/ODM-Kenya).
2. Mwai Kibaki - President, Head of State and Leader of The Armed Forces. Atasaidiwa na Makamu wa Rais (Ambaye yeye ndiye anamuandika kazi na kwa sasa ni mpinzani aliyeibuka namba tatu Desemba yaani Kalonzo Musyoka wa ODM-Kenya).
3. ODM ina wingi wa wabunge bungeni.
4. ODM ina wingi wa makansela wa mabunge madogo ya miji na jiji (Municipal and County Councils). Mameya wa miji yote mikubwa ya Kenya- Nairobi, Mombasa, Nakuru, Kisumu, Eldoret, Garissa na Kakamega ni wa chama cha ODM.
Kwenye mkoba wa JK kulikuwa carrots na sticks zilizoandikwa "Made in USA". Walipoziona siyo Kibaki wala Raila aliyeweza kukataa...
Kuna jambo moja rahisi na linafahamika kwa kila mfuatiliaji mambo ya kimataifa...
Wamarekani ni wadhaifu sana kwenye mambo ya mediation!!! hivyo si kweli kwamba wamesaidia...
Lakini ni kweli kwamba viongozi wa ODM na PNU walishaambiwa na Akina Rice kwamba mkishindwa kupatana tutakutana kwenye mahakama ya Dunia - Hague kama watuhumiwa wa mauaji ya Kimbari....
Suala la Tanzania kuwa na uwezo wa kupatanisha liko wazi... hatuhitaji kusema zaidi... na mengi mutayaona kwenye kipindi cha JK...
Tatizo lenu ni ubinafsi... munafikiri sifa ni za JK... ni za Tanzania
somebody shoot me! Hongera JK kwa kufanya kweli Kenya, natumaini the same procedure itafuatwa Zanzibar pia au sio (kama kweli ni wewe umefanya hili).
Kuna jambo moja rahisi na linafahamika kwa kila mfuatiliaji mambo ya kimataifa...
Wamarekani ni wadhaifu sana kwenye mambo ya mediation!!! hivyo si kweli kwamba wamesaidia...
Lakini ni kweli kwamba viongozi wa ODM na PNU walishaambiwa na Akina Rice kwamba mkishindwa kupatana tutakutana kwenye mahakama ya Dunia - Hague kama watuhumiwa wa mauaji ya Kimbari....
Suala la Tanzania kuwa na uwezo wa kupatanisha liko wazi... hatuhitaji kusema zaidi... na mengi mutayaona kwenye kipindi cha Tanzania ikiwa mwenyekiti wa AU.
Tatizo lenu ni ubinafsi... munafikiri sifa ni za JK... ni za Tanzania
Kwa hiyo kazi yote ya wiki kadhaa haikuwa na maana, kaja Superman Kikwete katika kikao cha masaa matano kaweza kufanya Annan na Mkapa walichoshindwa kufanya tangu January 10 siyo?
Woow, kwa nini asitumie magic touch yake Zanzibar basi?
Wote wanafaa kupongezwa, lakini ngoja nikukumbushe Mzee Roja Mila, alikuwa reserve mechi zake zilizompa sifa kuliko zote, watu wanacheza weeee akiingia yeye tu dakika za mwisho ananyuka bao sifa zote ni zake, lakini "ananyuka bao" ndio muhimu. Na hivyo ndio alivyofanya JK, watu wamecheza weeeeeee, kuingia yeye kanyuka bao.
Team nzima iliyofanya kazi Kenya inastahili sifa zote, pamoja na Kibaki na Raila wanapongezwa sana kufikia makubaliano na JK anapata golden shoes ya kuwa mfungaji bora.Zanzibar ni matatizo mengine kabisa, huwezi kufananisha machungwa na ndizi ingawa yote ni matunda.
Hapa Mkuu Dar Es Salaam nakupa tano, unakata mfananisha JK na Roger Milla? mmmmhh nakuelewa kazi kubwa iliishafanyika na wengine ameenda kufunga tu....
Kwa hiyo kazi yote ya wiki kadhaa haikuwa na maana, kaja Superman Kikwete katika kikao cha masaa matano kaweza kufanya Annan na Mkapa walichoshindwa kufanya tangu January 10 siyo?
Woow, kwa nini asitumie magic touch yake Zanzibar basi?
Li-Museven litakuwa limeumbuka hapa!
Haina shida, kama mkuu wa kaya yetu kachangia kuleta suluhu tunampongeza! Unaweza kukuta Anna, Condoleeza, Mkapa na wengine walkuwa wanacheza majokeri wakati Madume alikuwa kayalamba JK! Good job papaa, uje utuokoe na huku Pemba.
Wote wanafaa kupongezwa, lakini ngoja nikukumbushe Mzee Roja Mila, alikuwa reserve mechi zake zilizompa sifa kuliko zote, watu wanacheza weeee akiingia yeye tu dakika za mwisho ananyuka bao sifa zote ni zake, lakini "ananyuka bao" ndio muhimu. Na hivyo ndio alivyofanya JK, watu wamecheza weeeeeee, kuingia yeye kanyuka bao.
Team nzima iliyofanya kazi Kenya inastahili sifa zote, pamoja na Kibaki na Raila wanapongezwa sana kufikia makubaliano na JK anapata golden shoes ya kuwa mfungaji bora.
Zanzibar ni matatizo mengine kabisa, huwezi kufananisha machungwa na ndizi ingawa yote ni matunda.