peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 13,349
- 22,130
Benki ya Dunia imeipa Serikali ya Tanzania trilioni 1.2 kwaajili ya tabia nchi, barabara na viwanja vya ndege.
Nadhani sasa ni muda wa kuondoa tozo au kuambiwa siku ya ukomo.
======
Tanzania imepokea mkopo wa masharti nafuu wa Sh1.2 trilioni utakaofungua milango ya kuboresha usalama, ustahimilivu wa tabianchi, uwezo wa barabara za ndani na viwanja vya ndege vya Mikoa.
Taarifa iliyotolewa na Shirika la Maendeleo la Kimataifa la Benki ya Dunia (IDA) leo Mei 27, imesema mkopo huo utaiwezesha Tanzania kufanikisha maeneo hayo chini ya Mradi wa Ushirikiano wa Usafiri Tanzania (TanTIP) utakaowezesha pia taasisi husika katika kupanga na kusimamia sekta hiyo.
Imesema ufadhili huo utasaidia uboreshaji na ukarabati wa barabara zenye urefu wa kilomita 500, zikiwemo za Mtwara-Mingoyo-Masasi (kilomita 201), Lusahunga-Rusumo (kilomita 92), Songea-Rutukila (kilomita 111) na Iringa-Msembe (kilomita 104), huku ikishughulikia hali ya hewa ili kuongeza ustahimilivu wa barabara.
Asilimia 20trilioni 1.2 kutoka Benki ya Dunia pemba na unguja wanapewa ngapi?
Dah๐ค..Mungu๐ibarik tanzania๐น๐ฟBenki ya Dunia imeipa Serikali ya Tanzania trilioni 1.2 kwaajili ya tabia nchi, barabara na viwanja vya ndege.
Nadhani sasa ni muda wa kuondoa tozo au kuambiwa siku ya ukomo.
======
Tanzania imepokea mkopo wa masharti nafuu wa Sh1.2 trilioni utakaofungua milango ya kuboresha usalama, ustahimilivu wa tabianchi, uwezo wa barabara za ndani na viwanja vya ndege vya Mikoa.
Taarifa iliyotolewa na Shirika la Maendeleo la Kimataifa la Benki ya Dunia (IDA) leo Mei 27, imesema mkopo huo utaiwezesha Tanzania kufanikisha maeneo hayo chini ya Mradi wa Ushirikiano wa Usafiri Tanzania (TanTIP) utakaowezesha pia taasisi husika katika kupanga na kusimamia sekta hiyo.
Imesema ufadhili huo utasaidia uboreshaji na ukarabati wa barabara zenye urefu wa kilomita 500, zikiwemo za Mtwara-Mingoyo-Masasi (kilomita 201), Lusahunga-Rusumo (kilomita 92), Songea-Rutukila (kilomita 111) na Iringa-Msembe (kilomita 104), huku ikishughulikia hali ya hewa ili kuongeza ustahimilivu wa barabara.
Alisema "Kuna siku nchi hii itapigwa mnada tukiendelea kukopa"Kafanyaje?Mzee wa bakora
๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐๐๐
View attachment 2241268
Hii barabara ya mingoyo masasi niya muda mrefu sana imechakaa sana pia ni nyembamba sana.Benki ya Dunia imeipa Serikali ya Tanzania trilioni 1.2 kwaajili ya tabia nchi, barabara na viwanja vya ndege.
Nadhani sasa ni muda wa kuondoa tozo au kuambiwa siku ya ukomo.
Kiuchumi mkopo unakwenda kusisimua mzunguko wa fedha hasa kama sehemu kubwa ya hizi tenda yatapewa makampuni ya hapa nchini, pesa zitatembelea mifuko ya wananchi na shughuli za uzalishaji zitaongezeka kupokea pesa za wananchi hawa. Hasara yake, tunaandika deni jipya katika madeni ya Serikali.
======
Tanzania imepokea mkopo wa masharti nafuu wa Sh1.2 trilioni utakaofungua milango ya kuboresha usalama, ustahimilivu wa tabianchi, uwezo wa barabara za ndani na viwanja vya ndege vya Mikoa.
Taarifa iliyotolewa na Shirika la Maendeleo la Kimataifa la Benki ya Dunia (IDA) leo Mei 27, imesema mkopo huo utaiwezesha Tanzania kufanikisha maeneo hayo chini ya Mradi wa Ushirikiano wa Usafiri Tanzania (TanTIP) utakaowezesha pia taasisi husika katika kupanga na kusimamia sekta hiyo.
Imesema ufadhili huo utasaidia uboreshaji na ukarabati wa barabara zenye urefu wa kilomita 500, zikiwemo za Mtwara-Mingoyo-Masasi (kilomita 201), Lusahunga-Rusumo (kilomita 92), Songea-Rutukila (kilomita 111) na Iringa-Msembe (kilomita 104), huku ikishughulikia hali ya hewa ili kuongeza ustahimilivu wa barabara.
Deni letu bado ni stahimilivu.Tuendelee kukopa tu
30% za mkopo huu ni vyema zipelekwe katila nchi ya Zanzibar, kwa kuwa nao ni sehemu muhimu ya uwepo wa JMT.Benki ya Dunia imeipa Serikali ya Tanzania trilioni 1.2 kwaajili ya tabia nchi, barabara na viwanja vya ndege.
Nadhani sasa ni muda wa kuondoa tozo au kuambiwa siku ya ukomo.
Kiuchumi mkopo unakwenda kusisimua mzunguko wa fedha hasa kama sehemu kubwa ya hizi tenda yatapewa makampuni ya hapa nchini, pesa zitatembelea mifuko ya wananchi na shughuli za uzalishaji zitaongezeka kupokea pesa za wananchi hawa. Hasara yake, tunaandika deni jipya katika madeni ya Serikali.
======
Tanzania imepokea mkopo wa masharti nafuu wa Sh1.2 trilioni utakaofungua milango ya kuboresha usalama, ustahimilivu wa tabianchi, uwezo wa barabara za ndani na viwanja vya ndege vya Mikoa.
Taarifa iliyotolewa na Shirika la Maendeleo la Kimataifa la Benki ya Dunia (IDA) leo Mei 27, imesema mkopo huo utaiwezesha Tanzania kufanikisha maeneo hayo chini ya Mradi wa Ushirikiano wa Usafiri Tanzania (TanTIP) utakaowezesha pia taasisi husika katika kupanga na kusimamia sekta hiyo.
Imesema ufadhili huo utasaidia uboreshaji na ukarabati wa barabara zenye urefu wa kilomita 500, zikiwemo za Mtwara-Mingoyo-Masasi (kilomita 201), Lusahunga-Rusumo (kilomita 92), Songea-Rutukila (kilomita 111) na Iringa-Msembe (kilomita 104), huku ikishughulikia hali ya hewa ili kuongeza ustahimilivu wa barabara.
Unaongelea 6! Anakaribia kugonga 13 trillionMasharti nafuu ni yapi?!!
Ndani ya mwaka mmoja Mama amekopa zaidi ya 6trillion.
Hii ilikuwa kabla ya hii 1.2T kwahiyo ukijumlisha kutakuwa limeongezeka kwa $6.95BDeni la taifa limeongezeka for almost 15T within a year.View attachment 2241219
Ukisikia mkopo wa kuimarisha usalama unweza kudhani ni usalama wa wannchi. Kumbe ni usalama wa viongozi tu๐Benki ya Dunia imeipa Serikali ya Tanzania trilioni 1.2 kwaajili ya tabia nchi, barabara na viwanja vya ndege.
Nadhani sasa ni muda wa kuondoa tozo au kuambiwa siku ya ukomo.
Kiuchumi mkopo unakwenda kusisimua mzunguko wa fedha hasa kama sehemu kubwa ya hizi tenda yatapewa makampuni ya hapa nchini, pesa zitatembelea mifuko ya wananchi na shughuli za uzalishaji zitaongezeka kupokea pesa za wananchi hawa. Hasara yake, tunaandika deni jipya katika madeni ya Serikali.
======
Tanzania imepokea mkopo wa masharti nafuu wa Sh1.2 trilioni utakaofungua milango ya kuboresha usalama, ustahimilivu wa tabianchi, uwezo wa barabara za ndani na viwanja vya ndege vya Mikoa.
Taarifa iliyotolewa na Shirika la Maendeleo la Kimataifa la Benki ya Dunia (IDA) leo Mei 27, imesema mkopo huo utaiwezesha Tanzania kufanikisha maeneo hayo chini ya Mradi wa Ushirikiano wa Usafiri Tanzania (TanTIP) utakaowezesha pia taasisi husika katika kupanga na kusimamia sekta hiyo.
Imesema ufadhili huo utasaidia uboreshaji na ukarabati wa barabara zenye urefu wa kilomita 500, zikiwemo za Mtwara-Mingoyo-Masasi (kilomita 201), Lusahunga-Rusumo (kilomita 92), Songea-Rutukila (kilomita 111) na Iringa-Msembe (kilomita 104), huku ikishughulikia hali ya hewa ili kuongeza ustahimilivu wa barabara.
Hata mimi nimeshangaa. Mkopo wa kuimarisha kilimo au viwanda siusikiiTatizo hii mikopo huko inapoelekezwa ndio tatizo linapoanzia. Wanaboresha hali ya hewa kwaajili ya manufaa yao wakopeshaji halafu kulipa tunalipa sie kwakweli kwa mwenye akili yeyote mikopo ya aina hii kwa nchi zs maghrib ni zaidi ya ujambazi.
Polepole alimaliza hesabu, au magazijuto hukuyaona!? ๐ ๐Hivi zile trillion 1.5 za CAG ziliwahi kujulikana zilipo?