britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,636
- 30,004
Tanzania itapata msaada wa mafunzo kutoka nje kwa ajili ya kuwafunza Interpol jinsi ya kuwapata wanaopotosha mtandaoni waishio Ughaibuni.
Hii imethibitika kupatikana kwa wataalamu watakaosaidia zoezi zima.
Hii ni kuongeza ujuzi na kuwapa weledi vijana wa Interpol ili kazi yao kuwa rahisi sana.
Source TBC Habari
Hii imethibitika kupatikana kwa wataalamu watakaosaidia zoezi zima.
Hii ni kuongeza ujuzi na kuwapa weledi vijana wa Interpol ili kazi yao kuwa rahisi sana.
Source TBC Habari