IFM
Member
- Jan 26, 2011
- 26
- 0
katika pitapita zangu na kwa udaku wangu katika vyombo mabalimbali na kukusanya mawazo mbalimbali kutoka katika vyanzo vya ndani na nje yetu na kuweka rank, nchi yetu imepaa juu zaidi ya nchi zilizoendelea na zinazoendelea katika haya:
1. ni nchi ya kwanza kujiripua kwa mambomu yenyewe na huku ikidai nchi ya amani.
2. Ni nchi ya kwanza kufanyia operation mgonjwa kichwa badala ya mguu.
3. Ni nchi ya kwanza kuwa na utajiri wa madini ( Tanzanite) lakini wananchi wake walio wengi hawayajui na wala hawafaidiki nayo.
1. ni nchi ya kwanza kujiripua kwa mambomu yenyewe na huku ikidai nchi ya amani.
2. Ni nchi ya kwanza kufanyia operation mgonjwa kichwa badala ya mguu.
3. Ni nchi ya kwanza kuwa na utajiri wa madini ( Tanzanite) lakini wananchi wake walio wengi hawayajui na wala hawafaidiki nayo.