joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,613
MY TAKE: Ukiacha GDP ya makaratasi ni kitu gani tena Kenya imeizidi Tanzania?
Tony254
Don YF
The best 007
Geza Ulole
@
Tony254
Don YF
The best 007
Geza Ulole
@
Weka list ya income of all sectors ya your economy nikuonyeshe GDP ya kwenye makaratasi na propaganda inafanana vipi., weka na total annual revenue collection ya taifa yenu fukara, then come we discuss as we do a forensic comparison analysis of all sectors, utaihama uzi ba mzee.MY TAKE: Ukiacha GDP ya makaratasi ni kitu gani tena Kenya imeizidi Tanzania?
Tony254
Don YF
The best 007
Geza Ulole
@
Wacha uone goal posts zikichangeWeka list ya income of all sectors ya your economy nikuonyeshe GDP ya kwenye makaratasi na propaganda inafanana vipi., weka na total annual revenue collection ya taifa yenu fukara, then come we discuss as we do a forensic comparison analysis of all sectors, utaihama uzi ba mzee.
Tumalize hili la demokrasia kwanza, Kisha ndio tuingie katika GDP, kwanza lazima muache kelele zunu za kijinga kwamba Kenya Kuna demokrasia kuzidi Tanzanis6Weka list ya income of all sectors ya your economy nikuonyeshe GDP ya kwenye makaratasi na propaganda inafanana vipi., weka na total annual revenue collection ya taifa yenu fukara, then come we discuss as we do a forensic comparison analysis of all sectors, utaihama uzi ba mzee.
Tumalize hili la demokrasia kwanza, Kisha ndio tuingie katika GDP, kwanza lazima muache kelele zunu za kijinga kwamba Kenya Kuna demokrasia kuzidi Tanzanis6
Tony254
Hahaha Wakati Magufuli alikuwa anaiba kura mwaka huu mlikuwa wapi?Bravo my beloved country. KINARA wa demokrasia Afrika Mashariki.
Asante Kwa tàarifa, kumbe na nyie huwa mnatamani kuonekana mna demokrasia? Mbona huwa mnataambia demokrasia inacheleweshaaendeleo?MY TAKE: Ukiacha GDP ya makaratasi ni kitu gani tena Kenya imeizidi Tanzania?
Tony254
Don YF
The best 007
Geza Ulole
@
Waulize hao UN, hahahaha.Hahaha Wakati Magufuli alikuwa anaiba kura mwaka huu mlikuwa wapi?
Yote hayo lakini bado tumewazidi katika demokrasia, huko kwenu hali ni mbaya zaidi, Miguna Miguna pamoja na Mahakama kuamua arudishiwe passport yake na kurudishwa nyumbani bila masharti yoyote lakini serikali yenu ya kidikteta imakataa, hovyo Sana ninyi.Freeman Mbowe bado yupo jela?
You are still a hybrid democracy kama Kenya na Uganda tu. Hakuna tofauti. Honesty I still prefer Kenya, bongo hata freedom of speech ni shida na mahakama yenu haina nguvu compared na yetu. Kenya you have a chance of kujitetea na mahakama itakusikia na ikupatie bond or cash bail.Yote hayo lakini bado tumewazidi katika demokrasia, huko kwenu hali ni mbaya zaidi, Miguna Miguna pamoja na Mahakama kuamua arudishiwe passport yake na kurudishwa nyumbani bila masharti yoyote lakini serikali yenu ya kidikteta imakataa, hovyo Sana ninyi.
Hahahaha, wacha kujiliwaza Tanzania is a champion of democracies in Africa, wacha kusikiliza maneno ya mitaani, wataalamu wameangalia vigezo vyote na kuona kwamba Tanzania is far ahead of Kenya in Democracy.You are still a hybrid democracy kama Kenya na Uganda tu. Hakuna tofauti. Honesty I still prefer Kenya, bongo hata freedom of speech ni shida na mahakama yenu haina nguvu compared na yetu. Kenya you have a chance of kujitetea na mahakama itakusikia na ikupatie bond or cash bail.