albuluushiy
JF-Expert Member
- Oct 2, 2013
- 1,405
- 685
Habari njema kuwa leo ndugu zetu Watanzania waliopo Sudan wamesafirishwa na Serikali na hivyo wameanza safari ya kuelekea nchi jirani ya Misri ili kufanya safari ya kurudi nyumbani Tanzania.
Nchini Sudan usafiri wa anga umezuiwa. Kutoka Khartoum mpaka Cairo ni 2,173.9 km
Nchini Sudan usafiri wa anga umezuiwa. Kutoka Khartoum mpaka Cairo ni 2,173.9 km