SureWacha wafadhili watugonge kwenye mshono
Hizi stori toka 2015Vyombo vya habari vya nchi wanaoisaidia Tanzania tayari vimeanza kutumulika.
Kufuatia Polisi mkoani Mwanza kuwazuia wana CHADEMA kufanya kongamano lao la kudai katiba mpya.
Wahenga walisema kuwa hata mbuyu ulianza mdogo kama mchicha na sasa ndiyo naona wana CCM na viongozi wao wameanza kunyunyizia maji hako kambuyu ili kakue haraka.
Hii picha chini ni moja ya picha iliyo chorwa na msanii wa DW inayoonyesha madhaifu ya Serikali ya CCM.
View attachment 1862128
Hivi chadema nao ni wawekezaji!? Acheni ujinga ,ukikaidi sheria lazima ushugulikiwe kwa hekima ,Kama hivi .bigup dikteta wa kike.Kwa mfumo huu tulionao tutapoteza sana wawekezaji wengi sana.
Utopolo tupu!Vyombo vya habari vya nchi wanaoisaidia Tanzania tayari vimeanza kutumulika.
Kufuatia Polisi mkoani Mwanza kuwazuia wana CHADEMA kufanya kongamano lao la kudai katiba mpya.
Wahenga walisema kuwa hata mbuyu ulianza mdogo kama mchicha na sasa ndiyo naona wana CCM na viongozi wao wameanza kunyunyizia maji hako kambuyu ili kakue haraka.
Hii picha chini ni moja ya picha iliyo chorwa na msanii wa DW inayoonyesha madhaifu ya Serikali ya CCM.
View attachment 1862128
PHD za UDSM tutaanza kuzichunguza kwa ajili ya Ben Saanane mbwa nyieKumbe yote haya tatizo ni Uislamu wake? Hata Magufuli mlimsema hivi leo mnamkumbuka.