Tanzania; Wenye vitambi wanaheshimiwa kuliko wasionavyo, ukienda kwenye harusi na kitambi hata kadi huulizwii, ngoja uende kibaumbau uone sura ya mtu wa getini!*
Tanzania; Wenye vitambi wanaheshimiwa kuliko wasionavyo, ukienda kwenye harusi na kitambi hata kadi huulizwii, ngoja uende kibaumbau uone sura ya mtu wa getini!*
Kaka kwenye namba 5 Haina shida kukaa kmya mtu kuingilia mahusiano ya watu sio kabsa, sasa ukute umesema wakagombana then wamepatana vzuri wew ndo unayeonekana mbaya usiombe tena mchonganishi so ni heri utulie kmya tu
Kaka kwenye namba 5 Haina shida kukaa kmya mtu kuingilia mahusiano ya watu sio kabsa, sasa ukute umesema wakagombana then wamepatana vzuri wew ndo unayeonekana mbaya usiombe tena mchonganishi so ni heri utulie kmya tu
12. Tanzania; Mtu yuko kwenye magroup sita, la primary, secondary, chuo, kazini, manchester fans etc, kote huko kila siku mtu kafiwa uchangie, anaoa uchangie, anaolewa uchangie, anaumwauchangie, ...wewe nani uwe na hela zote hizo?? Maisha yataacha kuwa Magumu?? Punguzanetwork isiyo ya lazima! Watanzania tubadilike.