12. Tanzania; Mtu yuko kwenye magroup sita, la primary, secondary, chuo, kazini, manchester fans etc, kote huko kila siku mtu kafiwa uchangie, anaoa uchangie, anaolewa uchangie, anaumwa uchangie, ...wewe nani uwe na hela zote hizo?? Maisha yataacha kuwa Magumu?? Punguza network isiyo ya lazima!
Watanzania tubadilike.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]