Sijali
JF-Expert Member
- Sep 30, 2010
- 2,589
- 1,680
Zamani Mtanzania alikuwa ana ya kujivunia. Tulikuwa tunaona raha tuendapo nje watu wakitusifia jinsi nchi yetu ilivyo na misimamo thabiti, siasa inayoeleweka, viongozi wenye taaluma, amani na upendo. Hata katika michezo ya KImataifa, mara kwa mara tulifanikiwa kutoa mabingwa wa Kimataifa.
Si kila kitu kilikuwa vizuri, lakini angalau tulikuwa na mambo ya kujivunia.
Swali: Tanzania ya leo mtu anaweza kujivunia nini hasa?
Si kila kitu kilikuwa vizuri, lakini angalau tulikuwa na mambo ya kujivunia.
Swali: Tanzania ya leo mtu anaweza kujivunia nini hasa?