MUREFU
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 1,331
- 350
Tanzania vichekesho maisha yetu kama tunacheza drafti vile mana juzi juzi tulikuwa kwenye suala la umeme leo tupo kwenye suala la mafuta na viongoz wetu wanaongea pumba tuu.
hebu tuangalie wabunge na mawaziri waliochemsha na wanaongea pumba bungen na waliochemsha kwny wizara zao
hebu tuangalie wabunge na mawaziri waliochemsha na wanaongea pumba bungen na waliochemsha kwny wizara zao