Tanzania 'using Twitter's copyright policy to silence activists'

Tanzania 'using Twitter's copyright policy to silence activists'

Tanzania kwa sasa inaenda kuwa shule kwa madikteta juu ya namna ya kuwabana mbavu wakosoaji wao
Kwani uji tza ndio chuo cha kupika madikteta afrika, either wamewahi ishi au kupita tza.Kabila, kagame,m7,kwa uchache
 
Ipo siku BBC watatuonyesha alipo Ben na Azory maana wao ni noma. BBC eye wameonyesha mengi Sana yaliyowahi kuwa Sirini. Angalia wanawake na watoto wa Cameroon waliouliwa na wanajeshi wa serikali ya Cameroon, angalia nyumba za machinjio ya watu za nkurunziza burundi. Kuna watu wataumbuka sijui wataweka wapi nyuso zao. Hakuna Siri itakayoweza ificha chini ya jua
 
Kigogo na meko - Tom & Jerry!

Nitasukusagia kunguni yaanii
 
Shemasi anazidi kuwa selebriitee....ila BBC walichofanya sio poa yani wamemruka baba mwenye nyumba wetu wakaenda mhoji Shemasi 😄
 
Kigogo aanajulikana sana, sema yuko nje ya nchi ndio maana ni ngumu kumnasa!

Yani yuko kama alivyokuwa Mange tu
 
Ipo siku BBC watatuonyesha alipo Ben na Azory maana wao ni noma. BBC eye wameonyesha mengi Sana yaliyowahi kuwa Sirini. Angalia wanawake na watoto wa Cameroon waliouliwa na wanajeshi wa serikali ya Cameroon, angalia nyumba za machinjio ya watu za nkurunziza burundi. Kuna watu wataumbuka sijui wataweka wapi nyuso zao. Hakuna Siri itakayoweza ificha chini ya jua

Wakiendelea kuleta "Fyokofyoko" na wao watafungiwa kabisa TZ
 
Back
Top Bottom