Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 26,631
- 38,240
Kigogo anajulikana na ni mpumbavu tu anayetumika kama toilet paper!
Hana taarifa zozote za maana zaidi ya matusi na Mungu anaendelea kumjibu:-
1. Alisema mkuu wa nchi kafia ujerumani na washabiki wake wakapeperusha mitandaoni bendera ya Tz nusu mlingoti! Alipojigundua kaongopa hata msamaha hakuomba!!!
2. Alitangaza mama wa bwana mkubwa kafa hivyo akazike mzoga wake. Mungu sio Athumani baba yake Kigogo Mzee watu Mlawa akafariki hapa Ifakara! Kigogo akashindwa hata kuzika mzoga wake kama alivyotukana wengine!
3. Amehamasisha sana vurugu wakati wa uchaguzi! Watanxania sio wajinga! Walimdharau agenda ikafia mbali.
4. Alidanganya na anadanganya vitu vingi sana watanxania na wengine tumpuuze!
Ni wakati tweeter wafute kabisa akaunti hii ya Hong na iloyojaa ghiliba na matusi.
Queen Esther



Aliwaingiza chaka LISU na CHADEMA kwamba ana kituo chake cha kuhesabia kura na tume wasithubutu kubadili matokeo, tena akasema kabisa lisu na seif wajiandae tu kuapishwa.Lisu nae alivyo mbumbumbu wa siasa akamuamini