Tanzania ukijua kuongea Kiingereza unaonekana msomi

Kuna Binadamu yoyote ambaye anajua / ana-master kila kitu ?

Kwahio unataka mtaalamu wa kutunga nyimbo pia awe mtaalamu wa kutunga vitabu ?

Je unataka mtaalamu wa mapishi pia awe mtaalamu wa kilimo ? Au unataka mtaalamu wa sayansi pia awe mtaalamu wa uchumi...

Au sababu lugha inatumika kuwasilisha mawazo unadhani hio lugha haiwezi ikasomwa ki-undani na mtu akaielewa..., hata leo akija gwiji wa kuongea na kuelewa kisukuma ambae katumia muda wake kukitafiti na kukielewa kisukuma kwa sisi tusiojua hicho kisukuma atakuwa ni msomi kwetu... Au Usomi unaanzia wapi na kuishia wapi ? Au unadhani lile karatasi ambalo linasema wewe ni msomi ndio kipimo cha usomi ?
Ila kumbe mimi sina tofauti na mtu mwenye PHD Au masters kwasababu mtatusimamisha mahala mseme ongeni kiingereza wote tutaongea...
Japokuwa mimi elimu yangu ya Form 3 na yake kavuka kote huko....
Kapasua anga vitabu Kama vyote..

Ila kiingereza tunaongea wote..si ndivyo sisi wote wasomi sasa
 
Ila kumbe mimi sina tofauti na mtu mwenye PHD Au masters kwasababu mtatusimamisha mahala mseme ongeni kiingereza wote tutaongea...
Japokuwa mimi elimu yangu ya Form 3 na yake kavuka kote huko....
Kwahio wote mtaongea kingereza.., ila wao wanakuzidi kwenye jambo lilowafanya wapate hizo masters / PHD (ikiwa sio hizi za kuokoteleza kwenye vyuo)...

Pili kama wewe kipimo cha usomi ni PHD au Masters kwa muktadha huo utakuwa sawa..., ila kama kipimo ni uelewa hao wa PHD / Masters huenda unawazidi kwenye ujuzi wa aina fulani... kwa logic yako... Faraday alikuwa msomi au ?
 
Kuna Binadamu yoyote ambaye anajua / ana-master kila kitu ?

Kwahio unataka mtaalamu wa kutunga nyimbo pia awe mtaalamu wa kutunga vitabu ?

Je unataka mtaalamu wa mapishi pia awe mtaalamu wa kilimo ? Au unataka mtaalamu wa sayansi pia awe mtaalamu wa uchumi...

Au sababu lugha inatumika kuwasilisha mawazo unadhani hio lugha haiwezi ikasomwa ki-undani na mtu akaielewa..., hata leo akija gwiji wa kuongea na kuelewa kisukuma ambae katumia muda wake kukitafiti na kukielewa kisukuma kwa sisi tusiojua hicho kisukuma atakuwa ni msomi kwetu... Au Usomi unaanzia wapi na kuishia wapi ? Au unadhani lile karatasi ambalo linasema wewe ni msomi ndio kipimo cha usomi ?
Sasa kwanini Mimi sina cheti cha chuo Ila kuongea kiingereza najuwa na kukiandika najuwa nikienda kuomba ualimu bila cheti ...sipewi
Mwingine na cheti chake anajua kuongea kiingereza Kama mimi akiomba kazi kwa cheti chake atapewa..

Suala si ni kuongea Kingereza sasa kwanini nisipewe kazi apewe yeye..
 
Sasa kwanini Mimi sina cheti cha chuo Ila kuongea kiingereza najuwa na kukiandika najuwa nikienda kuomba ualimu bila cheti ...sipewi
Mwingine na cheti chake anajua kuongea kiingereza Kama mimi akiomba kazi kwa cheti chake atapewa..

Suala si ni kuongea Kingereza sasa kwanini nisipewe kazi apewe yeye..
Nani kasema suala ni kuongea Kingereza ? Suala ni Skill Set ambayo either nyote mnayo au wewe unayo na mwingine hana..., hicho Kingereza ulijua kukiongea kwa kupigwa na radi ghafla au kilihitaji juhudi fulani ?

Gates alikuwa college drop out (ila je unadhani ukienda nae toe to toe katika coding utamuweza)? Enzi zile before invention of formal schools / colleges na universities kulikuwa hakuna wasomi ?

Ndio maana mwanzo kabisa nilianza kwa swali Usomi ni nini ? ili tuweze kujua tunaongelea nini...
 
wanajua kivipi, kuongea tu au hadi undani wake (yaani kama somo)..
Pia kwenda shule ndio kuelewa ? wewe ukiwa ni msaidizi wa mpishi au fundi garage au msaidizi wa mwenye bustani na ukajifunza skills kutoka kwa hao hapo umejifunza / au haujajifunza ?

Na je ukichukua vitabu na kujisomea mfano hesabu na ukaelewa mwenyewe chini ya mwembe una tofauti gani na yule aliyesaidiwa kujua hizo hesabu kwenye nyumba ya tofari na dawati la mbao ?

Kama kipimo cha usomi ni kuelewa..., Je ? kuelewa jambo ambalo wengine hawalielewi kuna tatizo gani hio jamii ikikuita msomi ?
Tunazungumzia kipimo cha usomi ni kujuwa kingereza,,,wapo hao wasomi wa Chuo tena na degrees zao lakini kingereza cha kuongea ni matatizo matupu,,,je nao wapo kwenye fungu gani?
Na wapo ambao wanajuwa kingereza kwa kuongea sana ,kuandika ni shida je hao wote utawaeeka kundi gani? Kingereza ni lugha tu mkuu,,haitoshi kujisifu mbele za watu mm nimesoma,,,
Kuna watu wanaongea hyo lugha na shule hawana...tena fluently,,
Wakati huyo anayejiita msomi akitokwa mapovu kwenye kuongea..
 
Tanzania ndio nchi pekee mtu akijua kuongea Kiingereza anaonekana ni Msomi.

Hata wazazi wakiwapeleka watoto wao shule zao za English Medium fahari yao ni kuona mtoto anajua kuongea Kiingereza.

Ila kwa nchi nyingine. Kwa mfano nchi ya Israel kuna wasomi na wanasayansi wengi ambao hawatumii Kiingereza.

Hata nchi za Uarabuni Kama U.A.E hazitumii lugha ya Kiingereza katika masomo na watu wake ni wasomi.

Hata China nchi yenye maendeleo ya Viwanda duniani, hawatumii kingereza katika mfumo wa elimu ila kuna wasomi wengi tu.
Unatuaminishaje kuwa umesoma na kuelimika wakati lugha ya kujifunzia huijui?
 
For instance people like Diamond Platnumz are competent in speaking English and they are even able to write their songs in English does that mean their elites...

English is a language that anyone can learn whether he's educated or not....

Myself the Thread creator I can speak and write in English but I'm a school drop out
My E.D level is form 3 does that mean I'm an elite...
That's wht iam talking about..
 
Tunazungumzia kipimo cha usomi ni kujuwa kingereza,,,wapo hao wasomi wa Chuo tena na degrees zao lakini kingereza cha kuongea ni matatizo matupu,,,je nao wapo kwenye fungu gani?
Na wapo ambao wanajuwa kingereza kwa kuongea sana ,kuandika ni shida je hao wote utawaeeka kundi gani? Kingereza ni lugha tu mkuu,,haitoshi kujisifu mbele za watu mm nimesoma,,,
Kuna watu wanaongea hyo lugha na shule hawana...tena fluently,,
Wakati huyo anayejiita msomi akitokwa mapovu kwenye kuongea..
Kuwa na Shule ni nini ?
Na je unajua Lugha (Kingereza, Kiswahili, Kifaransa) vyote pia vinaweza vikawa masomo kama vile (historia, Kemia na Jiografia) ?

Kwa mtu aliyesoma kitu kama anataka kuhamisha / transfer hio knowledge yake kwa wengine lazima atumie medium fulani ya kuiwasilisha (iwe, kiswahili, kingereza au hata kwa kuchora) sasa iwapo anashindwa kuiwakilisha vyema kwa kutumia medium hio hio ni weakness na sio advantage.., ila hio haipunguzi kile anachokielewa...
 
Correction: "Does that mean that they are elites?". You do not have to be educated to be an elite. You need to be in a power position to be an elite - with or without education. In Tanzania, people do not learn English at home. The vast majority learn the language through the school system. In other words, the vast majority of English speaking Tanzanians (almost 100) are educated.
does that mean their elites
 
Correction: "Does that mean that they are elites?". You do not have to be educated to be an elite. You need to be in a power position to be an elite - with or without education. In Tanzania, people do not learn English at home. The vast majority learn the language through the school system. In other words, the vast majority of English speaking Tanzanians (almost 100) are educated.
But I'm pretty sure an elite person doesn't need Englihs as recognition to his knowledge..
The much know ones like to use English frequently to convince people they are knowledgeable...

Thus We Tanzanians have the belief and attitude towards elite people
We think that elite people should be compentent in English speaking and that's not the fact..
 
Mkuu mbona kuna watu wengi tu wahitimu wa Chuo na kingereza ni shida?
Tena mtu ataandika vizuri tu,,shida kuzungumza ni mtihani,,
Sio accent wala grammar..
Kingereza ni lugha tu kama zingine,,kuna watu nawajuwa wameishia std 7 tu..lakini sababu ya kutembea nje ya inchi wanaongea very straight English,,utasema nao ni wasomi?
Tena hao wanaojiita wasomi ndy huchanganya vocabularies kwenye kuongea ili aonekane mshindi,,kumbe angeongea simple angeeleweka vyema tu...
Yeye kuongea vocabularies ndy anaona ndy usomi..
mwandende mzee wa kusafiri
 
Tanzania kiingereza kinapatikana wakati unatafuta ujuzi. Yaank unasoma Chemistry humo humo unajulia kiingereza. Ni ngumu kujua kiingereza kavu kavu.

Kama bado hujaelewa Fanya hivi.
Tafuta watu 100 wanaojua Kiingereza Tanzania. Tafuta watu 100 wasiojua kiingereza Tanzania. Uliza elimu zao.

Good analysis. Kongole.
 
Kila mtu apambane na hali yake awe msomi ama la! Ila kuongea kingereza hakuna uhusiano na vilivyomo kichwani mwako! Kingereza ni lugha tu kama ilivyo kiswahili, kingoni, kihaya n.k!
 
Umenena vyema sana mkuu...kuna siku nipo barcelona nahangaika kuuliza kitu fulani kwa kingereza, ,,kila ninayemfata ananikwepa,,
Mwisho nikamkuta jamaa fulani akanijibu huku anacheka ,this is not an English country.

Duu..nilijiona mjinga sana

Kumbe kile kingereza tunachotambia huku bongo kuna watu wala hawashtuki.

Wala hawana mpango nacho.
Huko nako wanaagiza toothpick kutoka China kama Tanzania?
 
Back
Top Bottom