Chibudee
JF-Expert Member
- Dec 28, 2016
- 1,775
- 2,398
Haipendezi Sana Ni Aibu Sana Nahili Sijui Ni.Zito Ndio Sababu?
Tusijitape sana Wakati Kila Kitu Tunategemea wao Tulijigamba Hatutaki Mikopo Yao Lkn Leo Hii
Tunachambana Bungeni Kwa Kuzuiwa Mkopo Wa Elimu Mnatafuta Mchawi Nawaambieni Yupo Lumumba
Nasikitika Sana Sababu Sio Afya Sio Elimu Sio Miondombinu Tunawategemea Wao
Tunawatukana Huku Bado Tunawategemea
Tuna Amani Isio Kuwa Amani
Inapo Fikia Itaasiri Hata Mapato Katika Sector Ya Utalii Nchini Sio Jambo Jema sana
Naieleweke American Muunganiko Wama Taifa kadhaa Hawashindwi Kushawishi Zuio La Watalii Nchini.
Haya Tusubiri Next Week Bomu Lingine Linafumuliwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Tusijitape sana Wakati Kila Kitu Tunategemea wao Tulijigamba Hatutaki Mikopo Yao Lkn Leo Hii
Tunachambana Bungeni Kwa Kuzuiwa Mkopo Wa Elimu Mnatafuta Mchawi Nawaambieni Yupo Lumumba
Nasikitika Sana Sababu Sio Afya Sio Elimu Sio Miondombinu Tunawategemea Wao
Tunawatukana Huku Bado Tunawategemea
Tuna Amani Isio Kuwa Amani
Inapo Fikia Itaasiri Hata Mapato Katika Sector Ya Utalii Nchini Sio Jambo Jema sana
Naieleweke American Muunganiko Wama Taifa kadhaa Hawashindwi Kushawishi Zuio La Watalii Nchini.
Haya Tusubiri Next Week Bomu Lingine Linafumuliwa
Sent using Jamii Forums mobile app