Chibudee
JF-Expert Member
- Dec 28, 2016
- 1,775
- 2,398
- Thread starter
- #21
Kabla Marehemu Ruge Ajafa Alipo Enda Kuivamia Clouds
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii Ni ya lini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii Ni ya lini?
Mkuu ni ITAATHIRI na siyo Itahasiri*.Nashukuru kwa uzi,umeandika ya busara tupu na wasikie sasa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi Kweli Makonda ame violate Human rights kuliko Kagame, Museven, Mohamed bin Salmaan na Rais wa Sasa wa Egypt
America inataka kuleta Machafuko nchini
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kwani Kazuiliwa Makonda peke yake Au Taifa zima?Hivi Kweli Makonda ame violate Human rights kuliko Kagame, Museven, Mohamed bin Salmaan na Rais wa Sasa wa Egypt
America inataka kuleta Machafuko nchini
Sent using Jamii Forums mobile app
Unataka aue wangapi ndiyo a-qualify ku- violate human rights.Hivi Kweli Makonda ame violate Human rights kuliko Kagame, Museven, Mohamed bin Salmaan na Rais wa Sasa wa Egypt
America inataka kuleta Machafuko nchini
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa watu hawajatuingilia miaka 60 sasa
Ila wameona kitu na wanataka kitu
Kuna maslahi makubwa wanataka baada ya machafuko
Sent from my iPhone using Tapatalk
Ukianza jitambua lazima uangaliwe kwa jicho la tatu mkataba wa madini tulio saini waweza kuwa chanzo
Sent using Jamii Forums mobile app