Tanzania tunajidumaza kiufahamu kwa kutoiamini Kenya

Niondolee ujinga wako hapa, kwani Wakenya walikuwa hawaruhusiwi kuja Tz, unaongea pumba tupu, Tz si shamba la bibi kwamba tatizo la ajira na ardhi la Kenya lihamishiwe pia na Tz. Ni Rais mjinga tu atakaye ruhusu mkenya aje Tz kushindana kulima vitunguu na matikiti na wakulima wa Tz, narudia tena ni mpumbavu anayeweza kutetea ujinga wa namna hiyo...
Mbona umepanic sana mkuu !?
Vipi huwezi kujadili hoja hadi uwepo wa maneno kama MJI NGA na MPUMBAVU yawepo ?

Vipi dhana shindanishi kwako ni chukizo?

Nilitamani kukuuliza kama unahistoria ya kutembelea nje ya Tanzania ili nikuulize maswali mepesi kama tu siyo Tanzania kuruhusu Wakenya kuja kufanya shughuri mbalimbali za kiuchumi ,Je! Unafahamu kuwa yapo mataifa yanayoruhusu hadi wakimbizi kufanya shughuli za kiuchumi?

Vipi nao wamekosea kwa kiasi gani ?

Ushawahi linganisha uimara wa pesa na Uchumi wao na wa kwetu?

Kunashida gani kwa Wakenya kuja kuwekeza kwetu huku tukiruhusu wawekezaji kibao kutoka mataifa mbali mbali Duniani waje kuwekeza kwetu ?

Ni udumavu wa kiufahamu tuliyonao au niukomavu wa chuki zisizo na tija kwa Wakenya?

Kwani na sisi kama tutaamua kuvilima hivyo vitunguu na kwenda kuviuza wanakokwenda kuviuza wao kutakuwa na tatizo ?

Wake-up joh!
Ficha upumbafu wako .

Ruhusu kuelimika .

Tanzania tunamapori kibao ambayo mengine hayajawahi kutumiwa tangu Uhuru , Vipi kama serikali ikaamua kuweka sera nzuri za kiuchumi na kuamua kunufaika nayo kimkakati?

You guys tusikarili Dunia inaenda kasi sana , kodi siyo lazima ikusanywe kutoka kwenye pombe na sigara tu , hata huko kwenye ardhi isiyotumika ku anaweza kuwa chanzo kikuu cha kodi na wanainji wakapunguziwa mzigo .
 
Ni wewe mwenyewe mwenye hofu na wakenya.
Wewe umeona ni kipi cha manufaa sana walichonacho huko wanachotuzidi hapa!
Kama hawana wakichotuzidi ,nini basi msingi wa hofu zetu kwao?
 
Kwa kifupi wewe ni bwege.
Huwezi kuja hapa na kututolea takataka hizi halafu ukataka tujadili kistaarabu.
Nadhani hoja za kibwege hujibiwa kwa hoja zilizojaa weredi ili muhusika ajifunze kwako otherwise utakuwa unamsaidia kujua anaongea na mtu wa mihemko kitu ambacho wenda kikamfanya mchangiaji wa upande wa pili ausikitikie muda wake.

By then kinywa changu hakina weredi wakuyatamka maneno yenye ukakasi kama MPUMBAVU ,BWEGE na mengine yakufanana na hayo , nadhani busara inanitaka ninyamaze kuliko kubishana na mtu wa aina yako mkuu wangu .
 
Wewe usisingizie CCM akina Mengi ,BAKHERESA Manji,DEWJI nk ni mabilionea na wamekuwa mabilionea CCM hii hii IKIWEPO wewe sema akili huna ndio maana LOFA .Umekalia kuongelea CCM kutwa ona ulivyopigika kimaisha wenye akili zao wanapiga pesa

Mimi CCM damu na nimefurahioa sana uamuzi wa Kenyatta wa kufungua fursa kwa watanzania kenya kwa kuondoa VISA NA PERMIT
Siku hizi umebadilika sana YEHODAYA, imekuwaje?

Akili yako hii nzuri ulikuwa umemkabidhi Mwendazake? Mbona hakuitumia vizuri!
 
Kama hawana wakichotuzidi ,nini basi msingi wa hofu zetu kwao?
Hivi wewe ni nani kakwambia waTanzania wana hofu na wakenya, au hofu hiyo unayo wewe?

Inaeleweka Kenya ni waduni zaidi, ndiyo maana wanahangaika sana. Hebu tazama wanavyo kimbilia Arabuni kusafisha m*k*ndu ya waarabu.
Subiri tu miaka michache ijayo, watakuwa wakimiminika hapa kuja kufanya kazi za namna hiyo. Kwa kuwa wamekutuma uje hapa kutudis, nakuomba uwafikishie ujumbe huu.

Waambie wawe na subira kidogo tuijenge Tanzania yetu, tukishakuwa tayari hawatahangaika tena kwenda mbali huko Qatar na kwingineko; watakuja hapa kutuhudumia sisi.

Umenielewa, maanake kwa kukusoma tu hapo juu kwenye bandiko lako la mbele naona kidogo unalo tatizo la uwasilishaji wa hoja. Isije ikawa uelewa nao ni finyu.
 
Watanzania tusijidumaze kiakili.

Ukifuatilia mijadala inayoendelea mitandaoni na jinsi Watanzania walivyo na hofu na Wakenya dah! unaweza kudhani siyo Kenya hii ya hawa majirani zetu.

Unakuta watu wanasema sijui Kenya ni majasusi, Kenyatta ni mtoto wa mjini, mara Wakenya wameinyemelea jamuhuri yetu kwa muda mrefu, Mama amezidiwa akili na Kenyatta etc.

Kisa tu mama ametia dole contract ya ujenzi wa bomba la gas (tena siyo kwamba ameenza ujenzi ,amesema kama watafanikiwa kupata fedha inshallah) sambamba na kufungua milango ya nchi hizo mbili na kuondoa vikwazo vilivyokuwa vikiwachelewesha wapambanaji kuzitumia fursa.

You guys hebu ifike mahali tusijitusi hadharani hivyo wakuu, Wakenya wana kipi cha kutuzidi?

akili zao zinakaa nje ya vichwa vyao? Kwani na sisi situko na vichwa kama wao, tunafel wapi?

Wakuu kwani hatujui kuwa U-rais ni taasisi? Kwani serikali yetu nitakataka kiasi gani hata tushindwe kuiamini kwenye vitu vidogo kiasi hiki?

Kuhusu Wakenya kuja kunufaika na fursa hii ni kweli watanufaika ikiwa hatutakuwa nasisi wazo la kwenda kuzichangamkia fursa zilizopo kwao, niwe mkweli leo nimepokea zaidi ya cm 70 plus za raia wa Kenya as a (merely citizens) wakiniambia kuwa miji yao imezizima kwa furaha, hasa kuifurahia fursa zilizotolewa kwao leo ikiwemo karibisho lililotolewa na Mama yetu kwao na ni kweli wamedhamiria kuja kwetu, na binafsi hiyo imenifariji maana siyo tu watasisimua Uchumi wetu lakini wenda wakatusaidia kutuamsha kwenye usingizi wa pono tuliyojilalisha, ifahamike ni uchawi uliyokosa vitendea kazi kukutamani kuona mwenyeakili kutokufanikiwa kisa tu wewe ni m*pu*mba*fu

Wakuu Tanzania hata kama tutaachwa tulivyo , inaweza kutuchukua hata zaidi ya miaka 700 baadae ili kuondoka kwenye udumavu wa akili tulio nao.

Binafsi nilitarajia leo watu wangelishangilia sana kwa fursa zilizotolewa ambazo wenda zamani zilikuwa zikitugharimu fedha na wakati mwingine zikawa na urasimu kuzifanikisha. Anyway kwakuwa najua kiasili zaidi ya 92%+ ya watanzania siyo watu wakuchungulia fursa kwa jicho la 3 Achana na hawa ambao hawazidi hata 1% ya wanaokwenda China, Uganda na wengine kwenda Congo , wengi huwa tunaburuzwaga tu na mfumo kitu ambacho nitofauti sana kwa mataifa mengine kwenye eneo la kuchungulia fursa za kimaataifa.

Tuachane na udumavu wa kiakili wa kuamini kuikaribisha kwetu Kenya watatufunika hii nikujitukana hadharani.

Kila mmoja akiamua kusimama kwa ukamilifu na kuzichungulia fursa ipasavyo hakika tutawarudisha nyuma Wakenya, lakini kwakuwaogopa kwetu nikweli watatutahamisha mjini.
Pumba tupu hizi;
 
Kama hawana wakichotuzidi ,nini basi msingi wa hofu zetu kwao?
Hofu umeiona wapi kama siyo ubunifu wa akili yako?

Mawazo yako ndiyo unayotaka yawe ya wengine?

Kama waTanzania hawaoni umuhimu wa kuwapapatikia wakenya, kwani ni lazima iwe ni kwa sababu ya hofu?

Hapawezi kuwepo na sababu nyingine?
 
Nadhani hoja za kibwege hujibiwa kwa hoja zilizojaa weredi ili muhusika ajifunze kwako otherwise utakuwa unamsaidia kujua anaongea na mtu wa mihemko kitu ambacho wenda kikamfanya mchangiaji wa upande wa pili ausikitikie muda wake.

By then kinywa changu hakina weredi wakuyatamka maneno yenye ukakasi kama MPUMBAVU ,BWEGE na mengine yakufanana na hayo , nadhani busara inanitaka ninyamaze kuliko kubishana na mtu wa aina yako mkuu wangu .
Mada yako ni ya kipuuzi, kwa sababu unadhani ukija hapa kwa njia hiyo watu watakuona unajua kitu, kumbe ni mtupu kabisa kichwani.

Hao waliokupigia simu nenda kawaambie hatutawaruhusu kuvuka mpaka wao na kuja kuvua huku samaki ndani ya Tanzania katika Ziwa Viktoria, eti kwa vile tu Samia na Uhuru wamekutana na kukubaliana waliyokubaliana.

Usitegemee hata siku moja kwamba waTanzania tutashindwa kuiendeleza nchi yetu, eti kwa kukosa kuwashirikisha wakenya.

Kama wewe ni mtu mwenye "busara", kama ulivyojigamba hapo, ungetafakari sana haya niliyokujibu hapa. Usije hapa tena na kutaka kutudhalilisha, eti tu unaushirikiano na hao wanaokutuma. Iheshimu Tanzania na waheshimu waTanzania, na wao watakuheshimu.
 
Jamaa unaudumavu mkubwa Sana wa akili aiseee .


Kauli zako zinadhihirisha kuwa siyo tu ni mdumavu kifikra bali ni mtu usiye na mtazamo chanya juu ya kuzichungulia fursa zilizo nje ya Taifa lako vinginevyo usingelitumia nguvu kubwa hivi kuzijibu hizo unazoziita hoja za kipumbavu maana ungeliuona umaana wake jombaa .


Mkuu nenda kalisome tena bandiko langu utagundua vile mihemko tuliyonayo Watanzania baada ya Mh Rais kulizungumzia jambo la kutarajia kuwauzia gas Wakenya sambamba na kufungua mipaka kwa maana ya kuondoa vikwazo kwamishi vinavyozuia raia wa mataifa hayo mawili kuto kuzitumia fursa zilizopo kila upande na namna mihemko iliyoletwa humu jukwaani kwa kuwahofia Wakenya as if ni watu wa hatari kuliko hatari yenyewe .

Unachokifanya hapa ni mihemko ambayo kimsingi haina hata sababu zenye tija , by then wewe niwakukupuuza tu ,siajabu kubwabwaja kwako hapo kunaweza kukasababishwa na UKAPUKU uliyonao kiasi cha kuamini binafsi hutanufaika na fursa husika .

Mtu mwenye hulka chanya ya kuzitafuta fursa hata nje ya Taifa lake hii ingelikuwa ni habari njema kwake rafiki huku akiendelea tu kutoa maangalizo yakawaida hasa kwenye kile ambacho tunadhani tunapaswa kuwa nacho macho kinyume na ufanyacho hapa unavyotaka Tanzania iendeshwe kama ukoo wenu hahahahaaaa .

Punguza jazba mwamba ,akili dumavu kama zako ndizo zilizolifikisha hapa Taifa .

Ushauri tu .

Mkuu uwe unatoka toka nje ya Tanzania walau mara mbili kwa mwaka ,itakusaidia .
 
Nijuavyo kwa saa za Africa ya mashariki saa hizi huko ni usiku mkubwa sana lakini mwamba uko imara as if uko kwenye payroll

Pumzisha mwili mkuu , huu ujinga wako hapa utakufanya aidha uchelewe kuamka au uamke ukiwa mchovu sana mkuu
 
Watanzania tusijidumaze kiakili.

Ukifuatilia mijadala inayoendelea mitandaoni na jinsi Watanzania walivyo na hofu na Wakenya dah! unaweza kudhani siyo Kenya hii ya hawa majirani zetu.

Unakuta watu wanasema sijui Kenya ni majasusi, Kenyatta ni mtoto wa mjini, mara Wakenya wameinyemelea jamuhuri yetu kwa muda mrefu, Mama amezidiwa akili na Kenyatta etc.

Kisa tu mama ametia dole contract ya ujenzi wa bomba la gas (tena siyo kwamba ameenza ujenzi ,amesema kama watafanikiwa kupata fedha inshallah) sambamba na kufungua milango ya nchi hizo mbili na kuondoa vikwazo vilivyokuwa vikiwachelewesha wapambanaji kuzitumia fursa.

You guys hebu ifike mahali tusijitusi hadharani hivyo wakuu, Wakenya wana kipi cha kutuzidi?

akili zao zinakaa nje ya vichwa vyao? Kwani na sisi situko na vichwa kama wao, tunafel wapi?

Wakuu kwani hatujui kuwa U-rais ni taasisi? Kwani serikali yetu nitakataka kiasi gani hata tushindwe kuiamini kwenye vitu vidogo kiasi hiki?

Kuhusu Wakenya kuja kunufaika na fursa hii ni kweli watanufaika ikiwa hatutakuwa nasisi wazo la kwenda kuzichangamkia fursa zilizopo kwao, niwe mkweli leo nimepokea zaidi ya cm 70 plus za raia wa Kenya as a (merely citizens) wakiniambia kuwa miji yao imezizima kwa furaha, hasa kuifurahia fursa zilizotolewa kwao leo ikiwemo karibisho lililotolewa na Mama yetu kwao na ni kweli wamedhamiria kuja kwetu, na binafsi hiyo imenifariji maana siyo tu watasisimua Uchumi wetu lakini wenda wakatusaidia kutuamsha kwenye usingizi wa pono tuliyojilalisha, ifahamike ni uchawi uliyokosa vitendea kazi kukutamani kuona mwenyeakili kutokufanikiwa kisa tu wewe ni m*pu*mba*fu

Wakuu Tanzania hata kama tutaachwa tulivyo , inaweza kutuchukua hata zaidi ya miaka 700 baadae ili kuondoka kwenye udumavu wa akili tulio nao.

Binafsi nilitarajia leo watu wangelishangilia sana kwa fursa zilizotolewa ambazo wenda zamani zilikuwa zikitugharimu fedha na wakati mwingine zikawa na urasimu kuzifanikisha. Anyway kwakuwa najua kiasili zaidi ya 92%+ ya watanzania siyo watu wakuchungulia fursa kwa jicho la 3 Achana na hawa ambao hawazidi hata 1% ya wanaokwenda China, Uganda na wengine kwenda Congo , wengi huwa tunaburuzwaga tu na mfumo kitu ambacho nitofauti sana kwa mataifa mengine kwenye eneo la kuchungulia fursa za kimaataifa.

Tuachane na udumavu wa kiakili wa kuamini kuikaribisha kwetu Kenya watatufunika hii nikujitukana hadharani.

Kila mmoja akiamua kusimama kwa ukamilifu na kuzichungulia fursa ipasavyo hakika tutawarudisha nyuma Wakenya, lakini kwakuwaogopa kwetu nikweli watatutahamisha mjini.
👍👍👍
 
Jamaa unaudumavu mkubwa Sana wa akili aiseee .


Kauli zako zinadhihirisha kuwa siyo tu ni mdumavu kifikra bali ni mtu usiye na mtazamo chanya juu ya kuzichungulia fursa zilizo nje ya Taifa lako vinginevyo usingelitumia nguvu kubwa hivi kuzijibu hizo unazoziita hoja za kipumbavu maana ungeliuona umaana wake jombaa .


Mkuu nenda kalisome tena bandiko langu utagundua vile mihemko tuliyonayo Watanzania baada ya Mh Rais kulizungumzia jambo la kutarajia kuwauzia gas Wakenya sambamba na kufungua mipaka kwa maana ya kuondoa vikwazo kwamishi vinavyozuia raia wa mataifa hayo mawili kuto kuzitumia fursa zilizopo kila upande na namna mihemko iliyoletwa humu jukwaani kwa kuwahofia Wakenya as if ni watu wa hatari kuliko hatari yenyewe .

Unachokifanya hapa ni mihemko ambayo kimsingi haina hata sababu zenye tija , by then wewe niwakukupuuza tu ,siajabu kubwabwaja kwako hapo kunaweza kukasababishwa na UKAPUKU uliyonao kiasi cha kuamini binafsi hutanufaika na fursa husika .

Mtu mwenye hulka chanya ya kuzitafuta fursa hata nje ya Taifa lake hii ingelikuwa ni habari njema kwake rafiki huku akiendelea tu kutoa maangalizo yakawaida hasa kwenye kile ambacho tunadhani tunapaswa kuwa nacho macho kinyume na ufanyacho hapa unavyotaka Tanzania iendeshwe kama ukoo wenu hahahahaaaa .

Punguza jazba mwamba ,akili dumavu kama zako ndizo zilizolifikisha hapa Taifa .

Ushauri tu .

Mkuu uwe unatoka toka nje ya Tanzania walau mara mbili kwa mwaka ,itakusaidia .
Wewe na akili yako hii uliyoionyesha kwenye mada yako huna uwezo wa kunifundisha lolote kuhusu " fursa zilizo nje."

Sasa ni nani aliye na mihemko, hao wakenya au waTanzania ambao wanajibidisha na ujenzi wa taifa lao. Umesikia mTanzania yeyote akilia lia kuhusu Kenya, mbali ya wewe kuleta mada ya kipuuzi hapa?

Mimi sipapatikii ujio wa wakenya hapa, wewe ndio mwenye tatizo hilo, usiyeona fursa chungu nzima zilizopo hapa, na kudhani unazotaka wewe zipo huko kenya pekee; huko kenya unako maslahi gani ambayo yanakuondoa akili zote hivi na kuwadharau waTanzania!

Huwezi kunipuuza mimi, kwa sababu ukweli ninaokwambia unakuingia barabara, hata kama ukijifanya huuoni.
Tayari maandiko yako hapa yanaonyesha unajuta jinsi ulivyowasilisha mada yako kipuuzi puuzi.

Mimi nikiwa na akili dumavu, sijui wewe tutaziita nini akili zako, za mtindio?

Siku nyingine, kumbuka, unapokuja kuweka mada hapa, usiwadharau unaotaka wasome na kuelewa ujumbe unaowasilisha kwao. Kama somo hilo nalo bado hulielewi, ni hakika wewe utakuwa ni bwege wa kutupwa.

Sichukui ushauri wa kipumbavu. Unajuwa nipo wapi?

Unajuaje sijawahi kutoka nje ya Tanzania?

Kama umetoka kwenda hapo kenya, ndiyo unakuja kujivunia hapa?
 
Kulinda maslahi ya raia wako ni kazi ya serikali na sio kutojiamini , hata USA na China haupati ardhi na work permit kizembezembe hivyo. Kenya mtu wa kutoka county X hawezi pata kazi county Y, unategemea nini kwa mtz kupata kazi huko. Ardhi yote ya Kenya imeshanyakuliwa na mabepari wao, SSH anawaambia waje tu Tz ina nyingi, ana akili timamu kweli? Basi kwa akili hizi aturuhusu na sisi wabara twende tukamiliki ardhi Zanzibar.
Sisi tumeambiwa tuwe machinga inatosha
 
Mbona umepanic sana mkuu !?
Vipi huwezi kujadili hoja hadi uwepo wa maneno kama MJI NGA na MPUMBAVU yawepo ?

Vipi dhana shindanishi kwako ni chukizo?

Nilitamani kukuuliza kama unahistoria ya kutembelea nje ya Tanzania ili nikuulize maswali mepesi kama tu siyo Tanzania kuruhusu Wakenya kuja kufanya shughuri mbalimbali za kiuchumi ,Je! Unafahamu kuwa yapo mataifa yanayoruhusu hadi wakimbizi kufanya shughuli za kiuchumi?

Vipi nao wamekosea kwa kiasi gani ?

Ushawahi linganisha uimara wa pesa na Uchumi wao na wa kwetu?

Kunashida gani kwa Wakenya kuja kuwekeza kwetu huku tukiruhusu wawekezaji kibao kutoka mataifa mbali mbali Duniani waje kuwekeza kwetu ?

Ni udumavu wa kiufahamu tuliyonao au niukomavu wa chuki zisizo na tija kwa Wakenya?

Kwani na sisi kama tutaamua kuvilima hivyo vitunguu na kwenda kuviuza wanakokwenda kuviuza wao kutakuwa na tatizo ?

Wake-up joh!
Ficha upumbafu wako .

Ruhusu kuelimika .

Tanzania tunamapori kibao ambayo mengine hayajawahi kutumiwa tangu Uhuru , Vipi kama serikali ikaamua kuweka sera nzuri za kiuchumi na kuamua kunufaika nayo kimkakati?

You guys tusikarili Dunia inaenda kasi sana , kodi siyo lazima ikusanywe kutoka kwenye pombe na sigara tu , hata huko kwenye ardhi isiyotumika ku anaweza kuwa chanzo kikuu cha kodi na wanainji wakapunguziwa mzigo .
Bila shaka umetumwa kupima kina cha maji, hakuna nchi yenye akili timamu inayoruhusu immigration ovyo, hakuna nchi yenye akili timamu inayoruhusu muwekezaji aje na any no of expatriates per her desire, huu ni ujuha wa rekodi ya dunia kabisa.

Watz hatutakubali kuuzwa kiholela kazi au ardhi za watz, SSH atakumbukwa kama knowledge less Rais aliyewahi kutokea Tz, kukaribisha wawekezaji ni tofauti na kukaribisha wachuuzi wa nchi za karibu yetu.
 
Hivi kwa maamuzi mazuri... trade volume ya SADC na trade volume ya Kenya ipi kubwa ...kwa nini Kenya?
 
Watanzania tusijidumaze kiakili.

Ukifuatilia mijadala inayoendelea mitandaoni na jinsi Watanzania walivyo na hofu na Wakenya dah! unaweza kudhani siyo Kenya hii ya hawa majirani zetu.

Unakuta watu wanasema sijui Kenya ni majasusi, Kenyatta ni mtoto wa mjini, mara Wakenya wameinyemelea jamuhuri yetu kwa muda mrefu, Mama amezidiwa akili na Kenyatta etc.

Kisa tu mama ametia dole contract ya ujenzi wa bomba la gas (tena siyo kwamba ameenza ujenzi ,amesema kama watafanikiwa kupata fedha inshallah) sambamba na kufungua milango ya nchi hizo mbili na kuondoa vikwazo vilivyokuwa vikiwachelewesha wapambanaji kuzitumia fursa.

You guys hebu ifike mahali tusijitusi hadharani hivyo wakuu, Wakenya wana kipi cha kutuzidi?

akili zao zinakaa nje ya vichwa vyao? Kwani na sisi situko na vichwa kama wao, tunafel wapi?

Wakuu kwani hatujui kuwa U-rais ni taasisi? Kwani serikali yetu nitakataka kiasi gani hata tushindwe kuiamini kwenye vitu vidogo kiasi hiki?

Kuhusu Wakenya kuja kunufaika na fursa hii ni kweli watanufaika ikiwa hatutakuwa nasisi wazo la kwenda kuzichangamkia fursa zilizopo kwao, niwe mkweli leo nimepokea zaidi ya cm 70 plus za raia wa Kenya as a (merely citizens) wakiniambia kuwa miji yao imezizima kwa furaha, hasa kuifurahia fursa zilizotolewa kwao leo ikiwemo karibisho lililotolewa na Mama yetu kwao na ni kweli wamedhamiria kuja kwetu, na binafsi hiyo imenifariji maana siyo tu watasisimua Uchumi wetu lakini wenda wakatusaidia kutuamsha kwenye usingizi wa pono tuliyojilalisha, ifahamike ni uchawi uliyokosa vitendea kazi kukutamani kuona mwenyeakili kutokufanikiwa kisa tu wewe ni m*pu*mba*fu

Wakuu Tanzania hata kama tutaachwa tulivyo , inaweza kutuchukua hata zaidi ya miaka 700 baadae ili kuondoka kwenye udumavu wa akili tulio nao.

Binafsi nilitarajia leo watu wangelishangilia sana kwa fursa zilizotolewa ambazo wenda zamani zilikuwa zikitugharimu fedha na wakati mwingine zikawa na urasimu kuzifanikisha. Anyway kwakuwa najua kiasili zaidi ya 92%+ ya watanzania siyo watu wakuchungulia fursa kwa jicho la 3 Achana na hawa ambao hawazidi hata 1% ya wanaokwenda China, Uganda na wengine kwenda Congo , wengi huwa tunaburuzwaga tu na mfumo kitu ambacho nitofauti sana kwa mataifa mengine kwenye eneo la kuchungulia fursa za kimaataifa.

Tuachane na udumavu wa kiakili wa kuamini kuikaribisha kwetu Kenya watatufunika hii nikujitukana hadharani.

Kila mmoja akiamua kusimama kwa ukamilifu na kuzichungulia fursa ipasavyo hakika tutawarudisha nyuma Wakenya, lakini kwakuwaogopa kwetu nikweli watatutahamisha mjini.
kenya haijawahi kuaminika na tanzania tangu enzi za ukoloni, katika harakati za kupigania uhuru, jumuiya ya kwanza ya afrika mashariki iliyovunjika mwaka 1977 na kenya kudhulumu mali nyingi za tanzania kama ndege, kenya ni taifa la watu hovyo kabisa waotaka kuneemeka kwa gharama za watu wengine.
 
Wewe na akili yako hii uliyoionyesha kwenye mada yako huna uwezo wa kunifundisha lolote kuhusu " fursa zilizo nje."

Sasa ni nani aliye na mihemko, hao wakenya au waTanzania ambao wanajibidisha na ujenzi wa taifa lao. Umesikia mTanzania yeyote akilia lia kuhusu Kenya, mbali ya wewe kuleta mada ya kipuuzi hapa?

Mimi sipapatikii ujio wa wakenya hapa, wewe ndio mwenye tatizo hilo, usiyeona fursa chungu nzima zilizopo hapa, na kudhani unazotaka wewe zipo huko kenya pekee; huko kenya unako maslahi gani ambayo yanakuondoa akili zote hivi na kuwadharau waTanzania!

Huwezi kunipuuza mimi, kwa sababu ukweli ninaokwambia unakuingia barabara, hata kama ukijifanya huuoni.
Tayari maandiko yako hapa yanaonyesha unajuta jinsi ulivyowasilisha mada yako kipuuzi puuzi.

Mimi nikiwa na akili dumavu, sijui wewe tutaziita nini akili zako, za mtindio?

Siku nyingine, kumbuka, unapokuja kuweka mada hapa, usiwadharau unaotaka wasome na kuelewa ujumbe unaowasilisha kwao. Kama somo hilo nalo bado hulielewi, ni hakika wewe utakuwa ni bwege wa kutupwa.

Sichukui ushauri wa kipumbavu. Unajuwa nipo wapi?

Unajuaje sijawahi kutoka nje ya Tanzania?

Kama umetoka kwenda hapo kenya, ndiyo unakuja kujivunia hapa?
Jamaa unaligi za kitoto sana aiseee .

Anyway ,wacha tu nikwambie kuwa mtu aliye na tabia za kutoka nje ya Taifa lake huwa hana udumavu wa kifikra kama uliyonao mkuu wangu .

Mtu aliye na mazoea ya kutoka toka huwa na maono mapana juu yake na ya jamii yake .


Japo mimi nipo nje ya Tanzania kwa zaidi ya miaka 13 lakini hii hainifanyi nisizijue shida za ndugu zangu waliyopo huko kwa kukosa fursa kadhaa za wazi ambazo zingeliweza kuwaondolea changamoto kadhaa zinazowakabili .


Mtu badala ya kurundikana kariakoo kufungua maduka anaweza kuwekeza kwenye kilimo cha mazao mbalimbali mfano:-

Kilimo cha Mahindi na kwenda kuyauza Kenya na kwingineko kwenye bei zenye unafuu tofauti na hali ilivyokuwa kabla mazao yanazalishwa kwa gharama kubwa na bei ya soko la ndani haiendani na gharama za uzalishaji .

Mtu / watu wanaweza kuwekeza kwenye kilimo cha Parachichi na kwenda kuwauzia Wakenya ambao kimsingi ndiko kuliko na viwanda vingi achana na hivyo viwanda vyenu vya brenda kumi

Bado kuna mazao mbali mbali kama ufuta ,viazi mviringo , ,mbaazi ,choroko ,dengu na mazao mengine mengi ambayo kimsingi Tanzania yameonyesha kukosa soko huku upande wa pili yakiwa ni dhahabu za kijani .

Mkuu , unakwama wapi kujua kuwa licha ya Wakenya kuwa maopportunist as you said lakini pia ziko fursa nyingi sana kwa wakulima na wajasiriamali wa Taifa letu kama wataamua kuzitumia kuyabadili maisha yao ,iwe kwa kumpeleka mazao yetu au kwenda kuzinunua bidhaa za viwandani (material )mbalimbali na kujiajiri na hivyo kuwawezesha kupiga hatua za kimaisha na kuipunguzia mzigo serikali kwenye tatizo la ajira ?

Mkuu kuna faida nyingi na zenye tija kwa Taifa kufungua mipaka sambamba na kuondoa vikwazo kwamishi kwa Raia kuliko unavyodhani ,na hii hailifanyi Taifa lisichukue tafadhali juu ya hatari zote zitokanazo .

Wakati mwingine huwa sikulaumu ,natambua Watanzania tumegawanyika kwenye kada nyingi , kuna ambao hawana wakijuacho lakini wako na msuli wa kuongea usipime .

Mkuu wenda wewe unaweza usiwe miongoni mwa wanufaika watarajiwa lakini hiyo haikufanyi wewe uwe sahihi kuliko wengine.
 
kenya haijawahi kuaminika na tanzania tangu enzi za ukoloni, katika harakati za kupigania uhuru, jumuiya ya kwanza ya afrika mashariki iliyovunjika mwaka 1977 na kenya kudhulumu mali nyingi za tanzania kama ndege, kenya ni taifa la watu hovyo kabisa waotaka kuneemeka kwa gharama za watu wengine.
Wakuu kunatofauti kati ya kuaminiana na serikali mbili kukaa chini na kukubaliana kuondoa vikwazo kwamishi kama walivyofanya .

Kiusalama hakuna serikali dhaifu ya kiwango tunachofikiri wakuu .
 
Mimi nawashangaa sana watz wanaogopa wakenya. Binafsi nimesoma nao vyuo kadhaa nchini na nje ya nchi sijaona maajabu yao yoyote. Tujitume na tujiamini kwenye shughuli zetu.
 
Jamaa unaligi za kitoto sana aiseee .

Anyway ,wacha tu nikwambie kuwa mtu aliye na tabia za kutoka nje ya Taifa lake huwa hana udumavu wa kifikra kama uliyonao mkuu wangu .

Mtu aliye na mazoea ya kutoka toka huwa na maono mapana juu yake na ya jamii yake .


Japo mimi nipo nje ya Tanzania kwa zaidi ya miaka 13 lakini hii hainifanyi nisizijue shida za ndugu zangu waliyopo huko kwa kukosa fursa kadhaa za wazi ambazo zingeliweza kuwaondolea changamoto kadhaa zinazowakabili .


Mtu badala ya kurundikana kariakoo kufungua maduka anaweza kuwekeza kwenye kilimo cha mazao mbalimbali mfano:-

Kilimo cha Mahindi na kwenda kuyauza Kenya na kwingineko kwenye bei zenye unafuu tofauti na hali ilivyokuwa kabla mazao yanazalishwa kwa gharama kubwa na bei ya soko la ndani haiendani na gharama za uzalishaji .

Mtu / watu wanaweza kuwekeza kwenye kilimo cha Parachichi na kwenda kuwauzia Wakenya ambao kimsingi ndiko kuliko na viwanda vingi achana na hivyo viwanda vyenu vya brenda kumi

Bado kuna mazao mbali mbali kama ufuta ,viazi mviringo , ,mbaazi ,choroko ,dengu na mazao mengine mengi ambayo kimsingi Tanzania yameonyesha kukosa soko huku upande wa pili yakiwa ni dhahabu za kijani .

Mkuu , unakwama wapi kujua kuwa licha ya Wakenya kuwa maopportunist as you said lakini pia ziko fursa nyingi sana kwa wakulima na wajasiriamali wa Taifa letu kama wataamua kuzitumia kuyabadili maisha yao ,iwe kwa kumpeleka mazao yetu au kwenda kuzinunua bidhaa za viwandani (material )mbalimbali na kujiajiri na hivyo kuwawezesha kupiga hatua za kimaisha na kuipunguzia mzigo serikali kwenye tatizo la ajira ?

Mkuu kuna faida nyingi na zenye tija kwa Taifa kufungua mipaka sambamba na kuondoa vikwazo kwamishi kwa Raia kuliko unavyodhani ,na hii hailifanyi Taifa lisichukue tafadhali juu ya hatari zote zitokanazo .

Wakati mwingine huwa sikulaumu ,natambua Watanzania tumegawanyika kwenye kada nyingi , kuna ambao hawana wakijuacho lakini wako na msuli wa kuongea usipime .

Mkuu wenda wewe unaweza usiwe miongoni mwa wanufaika watarajiwa lakini hiyo haikufanyi wewe uwe sahihi kuliko wengine.
Wewe unaboa sana, kwa sababu kumbe akili yako ipo chini sana (hapana, elimu naona ni finyu).

Yote uliyoandika hapo juu ndiyo ninayokufundisha humu, sasa unageuka kutaka kuyafanya ndiyo unayopigania wewe?

Unalilia wakenya kwenye bandiko lako lote pale mwanzo, imekuchukua siku nzima na masaa kadhaa kutambua kwamba waTanzania wanazo fursa chungu nzima hapa?

Halafu bado hujui kwamba watu huku vijijini waliko wanachakalika kwelikweli na fursa hizo, wewe unalilia wakenya?

Mwambie Samia aweke jitahada nyingi za serikali yake kuwasaidia na kuwainua hawa wanaojenga taifa hili, kuliko kwenda kuwalilia wakenya.

Umeelewa sasa?

Naona huko kuishi kwako huko nje hakukusaidii sana, rudi hapa, pana fursa kibao. Njo tuijenge hii nchi yetu, achana na kujidharau kama ulkoonyesha kwenye mada hapo mwanzoni.

Nakuomba sana, acha kuidhalilisha na kuidharau Tanzania.

Hao mashemeji zako wanaoililia toka huko nje, ujue wamekwishatambua hili ni taifa la kipekee katika ukanda huu, ndio maana wanalialia wapate huruma ya kuambulia chochote.
 
Back
Top Bottom