Mpendwa,asilimia ya watu wanaojua nini kinaendelea ktk taifa letu ni sawa na asilimia ya watanzania wanaopata huduma ya umeme,sembuse kazi nzuri ya JF? 99% ya Watz hawajui.Shimo tutakaloingia ni kubwa na refu sana.Fikiria mpaka mjumbe wa shina anagombea ili ale 10% ya viwanja vya uswahilini,hagongi mhuri wa serikali ya mtaa mpaka kitu kidogo. Nina imani thabiti kuwa mapinduzi yaja ambayo yatageuza kila jiwe.