chapangombe
JF-Expert Member
- Sep 28, 2014
- 362
- 289
Leo ndio nimepima nimejirizisha kuwa kwa Tanzania kuwa na mageuzi ya kiuchumi ni ndoto Tena ya asubuhi. Kama ndio aina ya wabunge ndio hawa wanaochambua.
Mambo Kama vile tuna safari ndefu ndio maana kumbe mambo mengi ya ajabu
Yanapitishwa bungeni mara tozo, mara Kodi nk kumbe tumekosa watu sahihi yaani kumbe chama kile hakitaki kukosolewa hatuwezi kufika
Leo kwa mara ya Kwanza naona spiker anamtisha IGP na waziri wa Mambo ya ndani kukamata mtu.
Nafikiri shida sio elimu Bali tuna mfumo mbaya duniani nadhani kuliko nchi yoyote na leo nimempata sababu kwanini wanalipwa pesa nyingi vile kumbe watu akili waziweke mfukoni.
Yaani Tanzania tumefikia hatua ya kuwa tukiona nyekundu tuseme njano hata kama Ni nyekundu?
Kweli ndio Bunge la kutuvusha kweli hili ?
Aisee wajumbe Mungu anawaona oneni Sasa mmepeleka Nini mule.
Nina neno moja tu kwa Askofu MUDA NI HUU ACHIA HIYO KOFIA YA UBUNGE UTAKUWA MWENYE HESHIMA LAKINI NJIA HIYO UKIENDELEA NAYO YA CHAMA HICHO NAONA GIZA KWAKO WEWE HUFANANA NAO
LA PILI UKITAKA KWENDA UPINZANI NI WAKATI WAKO HUU HAMNA WAKATI MWINGINE LAKINI SHARTI UJIUZURU UASKOFU HUKO NDIO UNAFANANAO LAKINI ULIPO SASA ULIDANGANYIKA
Mambo Kama vile tuna safari ndefu ndio maana kumbe mambo mengi ya ajabu
Yanapitishwa bungeni mara tozo, mara Kodi nk kumbe tumekosa watu sahihi yaani kumbe chama kile hakitaki kukosolewa hatuwezi kufika
Leo kwa mara ya Kwanza naona spiker anamtisha IGP na waziri wa Mambo ya ndani kukamata mtu.
Nafikiri shida sio elimu Bali tuna mfumo mbaya duniani nadhani kuliko nchi yoyote na leo nimempata sababu kwanini wanalipwa pesa nyingi vile kumbe watu akili waziweke mfukoni.
Yaani Tanzania tumefikia hatua ya kuwa tukiona nyekundu tuseme njano hata kama Ni nyekundu?
Kweli ndio Bunge la kutuvusha kweli hili ?
Aisee wajumbe Mungu anawaona oneni Sasa mmepeleka Nini mule.
Nina neno moja tu kwa Askofu MUDA NI HUU ACHIA HIYO KOFIA YA UBUNGE UTAKUWA MWENYE HESHIMA LAKINI NJIA HIYO UKIENDELEA NAYO YA CHAMA HICHO NAONA GIZA KWAKO WEWE HUFANANA NAO
LA PILI UKITAKA KWENDA UPINZANI NI WAKATI WAKO HUU HAMNA WAKATI MWINGINE LAKINI SHARTI UJIUZURU UASKOFU HUKO NDIO UNAFANANAO LAKINI ULIPO SASA ULIDANGANYIKA