Tanzania tuna medali ngapi olimpiki mpaka sasa?

Tanzania tuna medali ngapi olimpiki mpaka sasa?

Andrew123

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2012
Posts
8,405
Reaction score
11,196
Salam!
Mwenye kujua chochote mpaka sasa Tanzania tumepata medali ngapi za Dhahabu, Fedha na Shaba? hapo jirani zetu kenya jana naona wameongeza nyingine ya Mwanariadha na kapteni wa Timu ya Olimipki David Rudisha, Hongereni Kenya
 
Salam!
Mwenye kujua chochote mpaka sasa Tanzania tumepata medali ngapi za
Dhahabu, Fedha na Shaba? hapo jirani zetu kenya jana naona wameongeza
nyingine ya Mwanariadha na kapteni wa Timu ya Olimipki David Rudisha,
Hongereni Kenya

Unasemaaa! "medali au Madai?"
 
SIMPLE! Mpaka sasa tuna medali 0 za dhahabu, fedha na shaba
 
Salam!
Mwenye kujua chochote mpaka sasa Tanzania tumepata medali ngapi za Dhahabu, Fedha na Shaba? hapo jirani zetu kenya jana naona wameongeza nyingine ya Mwanariadha na kapteni wa Timu ya Olimipki David Rudisha, Hongereni Kenya
Mkuu niliongelea mada kama hii juzi nanilingela kwa hasira sana.Tz mara ya mwisho kuchukua medal katika olimpic ni mwaka 1980,baada ya hapo ni kwenda kutalii tuu,hii ni kutokana na ubinafsi,wivu na ufisadi,Hawa akina Bay wapo pale kwa manufaa yao binafsi na si kwajili ya kuundaa timu ya kuchukua olimpic,ni kama ilivyo BMT sioni kazi yao zaidi ya kujinufaisha natumaini kwa tanzania kufanya vizuri katika michezo ya kimataifa ni hiyo miaka ya 70 na 80.Yani sisi hatupo popote katika michezo yoyote,si mpira wa miguu,table tennes,riadha,kuogelea,baiskel,magari,Mimi siamini kama tunashindwa/hatuna uwezo bali ni mandalizi duni na kunyimwa posho kwa wanamichezo wetu na vile vile ukiwashauri viongozi wetu hawashauriki.HATUJAPATA MEDALI HATA MOJA NA HAITATOKEA KUPATA LEO WALA KESHO,LABDA WALIPO WAONDOLEWE WOTE.
 
medali ya wizi labda!

mkuu hakika hatuwezi kupata medali yeyote hata kama ingekuwa ya wizi, huu unaofanyika huku ni wizi wakukamatwa wakijinga kuna mamafia wanafanya wizi marekani wakija huko mmmh!
 
ili mradi tutaendelea kujikita kwenye taasisi za riadha zilizobweteka dar badala ya wilayani kama zamani tutaendelea kuwa watalii katika ulimwengu wa riadha. inaelekea hata serikali za mikoa hazina mpango kabisa wa kushughulikia janga hili la riadha na hata spoti nyingine ukiacha mpira.
 
Daah! Hakika mmenifanya nitokwe na machozi kwa uchungu. Nakumbuka GIDA BUDAI alisema akihojiwa na CLOUDS kuwa mchezaji yoyote wa TZ akirudi na Medali yeye atachana vyeti vyote na kutembea uchi mji mzima wa Dar? kwa kauli ile nilishtuka kidogo kumbe alikuwa anamaanisha aisee!!! kaaazi kweli kweli mtu mzima BAI anakula pesa tu yeye OLIMPIKI mke kule NETIBOLI daah kweli mji SHULE hapo unakuta wanakusanya hela za kampeni 2015 maana Mrs. anataka VITI MAALUM wakati BAI mwenyewe anajipanga akagombee KARATU 2015. Kazi ipo! Ngoja tusubiri visingizio toka kwa viongozi na wachezaji!! m by the way walienda viongoz wangapi kusindikiza timu?
 
Mwanariadha wetu wa kike kawa wa 16 kati ya watu 18 . kapewa medali ya bati kudadeki
 
Hapo waziri Dr. Mukangara amejichimbia kuandaa "hotuba" ya kujitetea tayari anasubiria tu timu irejee aisome Bungeni visingizio vifuatavyo havitakosekana 1. HALI YA HEWA 2. CHAKULA 3. KUPOROMOKA KWA UCHUMI DUNIANI 4. MAANDALIZI YA SENSA 5. KIFO CHA MKULU WA GHANA na mengineyo mengi, jamani lini tutaacha visingizio?
 
ukisikia ng'ombe wa maskini hazai-ndio sisi
 
Hivi viongozi wetu wakipewa hivi vyeo huwa wanafikiria nini? unakuta waziri toka aingie wizarani hana alichofanya zaidi ya kusaini barua/mikataba na kusafiri pia kuzindua mikutano/makongamano/semina na kuzindua majengo/barabara FULL STOP...hivi tutawakumbuka kwa lipi?
 
Salam!
Mwenye kujua chochote mpaka sasa Tanzania tumepata medali ngapi za Dhahabu, Fedha na Shaba? hapo jirani zetu kenya jana naona wameongeza nyingine ya Mwanariadha na kapteni wa Timu ya Olimipki David Rudisha, Hongereni Kenya

Usiulize medali unachotakiwa kuuliza mpaka sasa tumetarii miji mingapi mpaka sasa?
 
Medali ya wizi labda!

We uliona wapi mkimbiaji akawa mrembo? hebu wacheki wakenya,wako kimazoezi zaidi,si tunapeleka mrembo eti kisa anamvutia bosi fulani! maajabu! kwanza huko vijijini umasaini na umang'atini kuna wakimbiaji wa ukweli kabisa ,wao wanang'ang'ania ma sister du! haya sasa!
 
Back
Top Bottom