Jaman sawa tusiponde sana bila kujiuliza maswali je mnajua David Rudisha ambae ndo nahodha wa kenya? Yule jamaa sio mchezo ana miaka 23 but anarecord zaidi ya 10 na ameanza training za riadha toka mtoto na amesoma shule ya michezo kamkunji high school ambapo amesoma mac donald mariga yule wa inter milan, denis oliech yule wa monaco na wengine kibao, yule ndo usain bolt wa mbio ndefu,
so bongo tusiponde tu maandalizi wakati hatuna wati dedicated na vipaji vya kutosha, inabid tujenge shule za michezo kama kamkunji high school then watu wajitume wakifundishwa kuwa michezo inaleta utajiri kuliko ajira za kusomea uone chini ya uangalizi mzuri uone balaa lake
ttena akizaa(kwa bahati mbaya) mtoto anakufa!!!!!!ukisikia ng'ombe wa maskini hazai-ndio sisi
Miminilifikiri yule dada alibeba bendera siku ya ufunguzi ni mfanyakazi wa ubalozini katoa company kuongeza number kumbe ni mshiriki??
Binafsi nimewaona watanzania siku ya ufunguzi tu .................... otherwise nimewaona Wakenya, Waganda, Burundi, Rwanda, Malawi, Zambia, Mozambique, Botswana, RSA off coures, Sudani......!!!
Hivi kweli kulikuwa na haja ya kupeleka tumu kule?? Kama ni kupeperusha bendera hiyo kazi ingefanya na ubalozi!!
Amani na utulivu !!
Jaman sawa tusiponde sana bila kujiuliza maswali je mnajua David Rudisha ambae ndo nahodha wa kenya? Yule jamaa sio mchezo ana miaka 23 but anarecord zaidi ya 10 na ameanza training za riadha toka mtoto na amesoma shule ya michezo kamkunji high school ambapo amesoma mac donald mariga yule wa inter milan, denis oliech yule wa monaco na wengine kibao, yule ndo usain bolt wa mbio ndefu,
so bongo tusiponde tu maandalizi wakati hatuna wati dedicated na vipaji vya kutosha, inabid tujenge shule za michezo kama kamkunji high school then watu wajitume wakifundishwa kuwa michezo inaleta utajiri kuliko ajira za kusomea uone chini ya uangalizi mzuri uone balaa lake
ukisikia ng'ombe wa maskini hazai-ndio sisi
halafu tunaambiwa raisi anapenda michezo!!!!!!!!! mbona hatuoni au anapenda "mchezo" fulani specific?
inakera sana
dah mkuu hapo umekosea..kumbuka TANZANITE yenyew mafisad wamebinafsisha sasa cjui itakuaje....hapa ni bila bila..kapa kapa...zingekuwepo na medali za udongo na za mbao tungepata, au watutengenezee zetu za TANZANITE
alafu hata baba yake Rudisha alishinda medali ya fedha mwaka 1978 na mama yake aliwahi kushinda mbio kwenye relay at a national level.Jaman sawa tusiponde sana bila kujiuliza maswali je mnajua David Rudisha ambae ndo nahodha wa kenya? Yule jamaa sio mchezo ana miaka 23 but anarecord zaidi ya 10 na ameanza training za riadha toka mtoto na amesoma shule ya michezo kamkunji high school ambapo amesoma mac donald mariga yule wa inter milan, denis oliech yule wa monaco na wengine kibao, yule ndo usain bolt wa mbio ndefu,
so bongo tusiponde tu maandalizi wakati hatuna wati dedicated na vipaji vya kutosha, inabid tujenge shule za michezo kama kamkunji high school then watu wajitume wakifundishwa kuwa michezo inaleta utajiri kuliko ajira za kusomea uone chini ya uangalizi mzuri uone balaa lake
ttena akizaa(kwa bahati mbaya) mtoto anakufa!!!!!!