figganigga
Platinum Member
- Oct 17, 2010
- 27,614
- 62,401
Humprey Polepole alijua anapiga picha na Rais kumbe anapiga picha na Samia
Watanganyika walitamani kuwa na kiongozi bora anaye thamini uhai wa watu, ila wakampata Samia
Walitamani mtu wa kuwatoa kwenye Wimbi la umasikini, wakampata Samia
Walitamani kiongozi wa kuwaunganisha kama Taifa wakampa Samia.
Samia mwenyewe tena wa kupachikwa kwa bandeji na genge linalotafuuna Nchi.
Nchi yetu Tanganyika Mungu ataisaidia ipo Siku itapata Rais asiye Samia