4. Hoteli/Resorts zilizoko Tanzania inatakiwa zifahamike na huduma zikitolewa........tusisahau kuweka bei za package mbali mbali.....ministry of tourism inabidi..........matanagzo hayo yatolewe Asia, Ulaya, na Amerika
Tunapokuwa tunasema Tanzania the Land of Kilimanjaro, Zanzibar and Serengeti....inakuwa kama tunategemea wengine watangaze what is Kilimanjaro, Serengeti na Zanzibar halafu sisi ndio tuseme...........kitu ambacho hatuna uhakika how much hivyo vimetangazwa..............
Otheriwse sehmeu ya tangazo lilivyoonyesha theluji ya mlima wa Kilimnajaro ni zuri....kidogo ilitakiwa kuonyehsa watu wakipanda, halafu watu hao wanaonekana wako kilelelni kwenye theluji.................
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.