Tanzania-THE NEXT HAITI:IF JK/CCM WINS 2010

Tanzania-THE NEXT HAITI:IF JK/CCM WINS 2010

SHERRIF ARPAIO

JF-Expert Member
Joined
Aug 25, 2010
Posts
9,539
Reaction score
5,923
Miaka 50 imepita baada ya uhuru. Hakuna maendeleo yoyote yaliopatikana. Tanzania inaendelea kuwa maskini wa kutupwa hadi kufikia kuwa nchi ya tatu toka mkiani kwa umaskini na ufukara.
Wengine wamedai Rome haikujengwa siku moja. Haiti je? Wamepata uhuru kabla hata ya USA, hali iliyopo ya rushwa, serikali hovyo, kulindana na ujinga wa wananchi ndio umewafikisha hapo walipo. Tanzania leo hii iko nyuma saaaana even by East African standards!! Tusipoangalia itaitwa Kenya muda sio mrefu.
Elimu duni kuanzia chekechea hadi universities.
Vyoo vikuu vyenye elimu duni kila kona!
Hadi leo hata cardiac surgery lazima upelekwe nje ya nchi, mahospitalini watu wanalala chini ya sakafu!
Wizi kila kukicha EPA, Richmond, Radar, Meremeta, IPTL, Kagoda, DECI etc.
Hadi leo umeme ni issue!
ATC, TRC, Tanesco chaliiiiiiiii.
Hadi leo maji ni issue!
Wanajeshi vilaza!
Bunge maskini ndio hilo limejaa wezi kina Rostamu, waganga wa kienyeji (plofesa) na wafungwa na majangili akina Rage...heshima ya bunge iko wapi?
Mawaziri uchwara na big government! Wengine kujiita "Dr" wakati hawana hata PhD wala MD degree. Mfano huyo medical assistant anayejiita Dr Aisha Kigoda LOL!!
Kwa kifupi Tanzania itaendelea kusubiri kwa miaka 400 kama Haiti. Raisi mwenyewe uswahili mwingiiiii kama yuko pale kijiweni Saigoni.
 
hii ni kali - mkuki moyoni - wengine nao eti wanaomba kazi ambazo hata hawawezi kuzifanya walipewa miaka 5 wame prove failure - haya wanarudi tena kuomba mingine 5 - Jamani turudi kwenye mila zetu kuna makabila ambayo hayana sifa za uongozi kabisaa.
 
Ni kuwaelimisha ambao wapo nyuma sana kifikra ambao wengi wao wapo vijijini ambao bado wanaamini kuwa eti siku moja CCM itawasaidia na kuwatoa huko waliko!. wakati leo hii hata hawajui watakula nini kesho! duuhh!:A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13:
 
Ni kuwaelimisha ambao wapo nyuma sana kifikra ambao wengi wao wapo vijijini ambao bado wanaamini kuwa eti siku moja CCM itawasaidia na kuwatoa huko waliko!. wakati leo hii hata hawajui watakula nini kesho! duuhh!:A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13:
Wa vijijini wanahongwa chumvi wanachagua Chama cha majangiri:tonguez:
 
Ujinga wa watanzania ndo mtaji wa CCM.
Ndo maana CCM wataendelea kukomaa na shule za kata
 
Kazi yetu ni moja tu kumtimua JK na CCM yake kazi hapo Oktoba 31st.
 
We can not make any step to development with CCM. CCM bye, welcome CHADEMA
 
Give CCM and JK just another 5 years and we'll prove you wrong, dude!
 
Back
Top Bottom